Kura: Zilipendwa vs Seduce me

Kura: Zilipendwa vs Seduce me

PIGA KURA: ZILIPENDWA V/S SEDUCE ME


  • Total voters
    118
Japo sina timu lakini [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG] nimeielewa vizuri zaidi.
Ngoja nisikilize tena zote mbili labda masikio yangu yamenidanganya.
 
Sikujua seduce me ni dedication kwa queen of power, Daah hii kweli zilipendwa...

Task Force12
 
Nimezisikiliza zote kwa mara ya pili za kawaida tu.
Wimbo mkali ni wa Christian Bela na Joh Makini hatari sana.

KWA WANAOJUA MZIKI WATANIELEWA
 
unaweza ukasema hivyoo ila nyimbo kibao tuu zinafanana siku hizi kwangu sioni ajabu na muziki wa sasa kama sio mjanja huwezi kutoka kwahiyo kama WCB wajanja pongezi kwao ndomana wanatusua zaidi ya Alikiba...
mtu kama alikiba leo sio wakufananishwa na diamond alikiba tungekua tunamwita legend wa muziki lakini kwakuwa yeye hakuwa mjanja mpaka wenzake wakina AY wanamuacha mbali ndomana leo anafikia kucompete na domo mtoto wa juzi kabisa katika muziki
Bro, labda wewe hujui.
Kuna kitu kinaitwa muziki bora na kingine kinaitwa bora muziki.

Unajua kwanini nyimbo za Celine Dion, west life na wengine wa nje nyimbo zao ukizikiliza leo huwezi kuzichoka?

Jiulize kwanini nyimbo za Mr nice hazipo na watu hawawezi kuzikiliza japo kwa wakati ule zilionekana bora kwa ujanja unoona bora kwako???

Nimekupa home work
 
nina majina mapya kila mja amenipa wananiita kipusaa oooh pasua kichwa wcbooo wame copy idea ya matonya afu king alishasema hafanyi mziki ushindani kama wanataka kushindana nae watapoteana kikundi cha kwaya kinashindana na mtu mmoja kweli wale malkia tatzo mameneja wao wana element za washika ukuta leo hadi mwarabu fighter amekua vudeo quen tukiacha ushabiki na chuki wcb wana potea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nyimbo unaweza ukakaa ukapiga na watu wazima wenzio sasa hiyi zilipendwa si uwapigie watoto wacheze uko na mpenzi wako au harusini ukapige zilipendwa acheni utani jamani
 
Back
Top Bottom