Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,640
Babu tulia, na wewe [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]Sisi wenye umri wetu tunaruhusiwa kuchagua?
Maana majibizano yenu yamenifanya nizisikilize hizi nyimbo mbili.
Tofauti ni kubwa sana kwa sisi wahenga. Sijui kwanini mnataka kujua ipi nzuri wakati hakuna vya kupambanisha...
Au ni swala la ushabiki?
Kwa uhalisia nimeikubali zilipendwa... big up diamond? Au Kiba?
Kwa muziki kwa maana ya melody ilivokaa njema... seduce me ni kiwango cha kimataifa... big up diamond? Kiba?
Sipendi mambo yenu ya ushabiki. Ingekuwa msondo/sikinde..... weeee Sikinde hata iimbe maharage itabakia kuwa super kama Simba Sports Club.. ofkoz na Liverpool...
Haya mambo ya vijana
