Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 461
Kama si mkazi wa Kyela unahaki!Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni
Manaibu waziri pia woote , yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri , nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri
Pili ,nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?