Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Kamaa tadiinu tudanu
AkajiajiriMtu na degree zake Nne zake bana
mdomo wake umemponza hajui kuweka akiba ya maneno ndo shida ya akina Mwa.Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Hivi Mwakalinga amesaidia nini Kyela ?Mheshimiwa Mwakyembe kapata kura nyingi sana hapo Kyela ange gombea Elias Mwakalinga katibu mkuu wizara ya Ujenzi angepata kula chache Mnoo.
Yule Mzee hajawahi imarika kikamilifu tangu apigwe sumu.Kwanza anaulizwa swali kwenye mkutano analeta dharau eti oh! Wewe unaniuliza swali Mimi daktari wa falsafa, Yani ego imezidi yule mnyaki mpaka amejisahau huyo anayemjibu ndo mpiga kura anayemtegemea.
We ulitakaje? Naona unashindwashindwa tu! Au we ndio Mwakembe Nini? Kauli ndio iliyombwaga Mwakembe!Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
DahItakuwa lowasa kapeleka mkwanja kyela ili Mwakyembe abwagwe, maana wale uhusiano wao ni mbingu na ardhi
Kwamba babu tale Kapuya?Kuna naibu Waziri pia kaangushwa na Babutale huko Morogoro
Sio Mwakyembe tuu hata Anjela kapigwa chini..Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Hata asingefanya hivi asingechomoka
Eti manaibu Waziri wote wamepita, hujasikia yule aliyepigwa chini na Babu Tale?Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
NakaziaDharau na kebehi
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Ukileta unyakyusa Kwa wanyakyusa wanakunyakyusa! Wanyakyusa hawataki mtu yeyote awaletee unyakyusa hata kama wao ni wanyakyusa!!!!Wanyakyusa sio watu kama unabisha nenda kaishi nao.MWAKYEMBE ALIKUWA ANA WA FOOL KUMBE WANAMCHEKI TU LEO KAWATEGEA SHINGO WAMEPITISHA KISU.
Mwakyembe ni mzee mhuni pia muongo muongo.
Hunui nai u waziri kilimo kapigwa chini na babu tale?Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Na mm niliyakanniseme ili ila ngoja tuone kama manager wa mwanamuziki atapitaMbona Mgumba naibu waziri wa kilimo kapigwa chini na babu tale
Unaweza kuwa na hoja, lakini umeiwasilisha vibaya. Kwamba Mwakyembe ni waziri pekee mwanaume aliyeshindwa haiwezi kuwa hoja ya maana katika wasilisho lako. Kura haziangalii kigezo cha mwanaume au mwanamke, bali zaidi wapiga kura wa CCM wanaangalia nani kawakatia pochi nene zaidi. Je, Mwakyembe ameifanyia nini Kyela mpaka iwe ajabu kushindwa? Tafuta kwanza sababu zinazoweza kuonekana kabla ya zile zisizoonekana wazi, za kushindwa kwake!Duh! Lakini mbona mawaziri wanaume wote wamepita?
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?