johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,951
- 141,940
Ni ushauri tu kwa Chama Cha Mapinduzi kwamba zoezi la kura za Maoni liwe linasimamiwa na Tume ya Uchaguzi NEC ili kuondoa malalamiko ya Wanachama
Ikumbukwe kwamba kura za Maoni CCM Ndio hutoa Viongozi mbalimbali nchini ikiwemo wale wanaopita bila kupingwa
Heri ya Mwaka Mpya
Ikumbukwe kwamba kura za Maoni CCM Ndio hutoa Viongozi mbalimbali nchini ikiwemo wale wanaopita bila kupingwa
Heri ya Mwaka Mpya