Uchaguzi 2020 Kura za maoni Kyela ni kitendawili na zinashtua

wewe kutoka mawaziri 40 wameshindwa kura za maoni watatu

Halafu mawaziri wote na wengine ambao nahisi kuna namna wameshinda kwa kuzoa mikura yaani tofautisha na wengine waliohangaika kushinda
Watatu Ni yupi? Mi nafahamu Mwakyemve na Mgumba basi
 
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.

Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.

Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.

Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.

Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
maswali ya kijinga Kama haya ndo yanayotufanya tuendeleee kuwa maskini Sasa Kama sababu yy ni Waziri kwamba lazima apite palikuwa na umuhimu gani wa kura za maoni?
Pili yy ndo Waziri wa kwanza kuzama unakumbuka wasira aliyejiaminisha kipenzi Cha jk kipi kilimtokea?
tatu kwa Yale majigambo ya yy alikuja kyela ameshashiba toka bunge la east Afrika lenye mshahara Mara 3 zaidi hata ww ungekuwa mjumbe ungempa kura?
 
Mwakyembe amesha poteza mvuto wa kuongoza wana kyela sababu ya dharau zake kwa anao waongoza.

Anajiona ni msomi kuliko wote hapa Tanzania. Sasa malipo yake ndiyo hayo.
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.

Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.

Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.

Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.

Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
 
Hivi ni Jambo gani la maana kalifanya tokea awe waziri ndio maana na degree zake nne aliondolewa wizara ya sheria akapelekwa michezo ambako nako alikuwa anavurunda
 
Mwakyembe amekuwa anadharau sana walioishia elimu ya darasa la saba na hao darasa la saba B wamemla kichwa kura za maoni.
 
Back
Top Bottom