Uchaguzi 2020 Kura za maoni Kyela ni kitendawili na zinashtua

Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.

Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.

Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.

Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.

Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Mcheza kwao hutuzwa.
Waziri asiyeahidi neema kwa wapiga kura wake ana faida gani?

Tumeona Dr Harrison Mwakyembe , akijisifu sana na degree zake nne na udaktari wa falsafa ambao haujawasaidia sana wapiga kura wake.
Sana sana anawadharau wapigakura wake darasa la saba,masikini, ambao ni wengi jimboni kwake.

Huyo hafai, hafai hafai.
 
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.

Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.

Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.

Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.

Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
tatizo la Mwakyembe lipo kwenye namna aongeavyo na wapiga kura wake.

wananchi wanapomchagiza kwa maswali yeye huwajibu kama anavyowajibu ndani ya bunge kina Halima Mdee, Lema, Msigwa, etc .
 
akajiajiri huko...si ana ma-degree

si mpaka apewe kazi za kujikomba

halafu ndiye aliwaita waandishi wasio na degree 'makanjanja' wachumia tumbo na dharau za kejeli
 
Tupeni wasifu wa Ally Mlagila nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na mabasi ya "Mlagila" huko kyela bila shaka huyu jamaa atakuwa ndiye aliyekuwa mmiliki.
 
Kwanza anaulizwa swali kwenye mkutano analeta dharau eti oh! Wewe unaniuliza swali Mimi daktari wa falsafa, Yani ego imezidi yule mnyaki mpaka amejisahau huyo anayemjibu ndo mpiga kura anayemtegemea.
Kalile kaakoo imepitwa na muda kwenye majimbo yetu na hasa unaikuta Kyela,Mimi nimekuja Kyela nikiwa nimeshiba,nilikuwa na kila kitu,nilikuwa mbunge wa Afrika mashariki napata mara tatu ya mshahara wa mbunge.
 
Alionesha dharau wakati wa kujibu swali alilo ulizwa mbele ya wapiga kura! Alirudia majigambo yake kuhusu Elimu aliyo nayo na ukwasi alio nao dhidi ya wananchi. Jambo ambalo kwa hulka ya wanyakyusa hasa wa Kyela halikubariki kabisa, kilichotokea wamemuadhibu hapo hapo, labda asubiri ubunge wa kuteuliwa ili akamalizie kazi yake aliyopewa na Mh, Rais.
Mwakyembe hata angegombea na Bambo, Bambo angepita
 
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.

Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.

Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.

Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.

Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
"Anavuna alichopanda... dadada ndadada nda... mama yake alimwambia.... atavuna alichopandaa..."
 
Kwa hiyo kama wengine wamepita ni lazima na yy apite?Wanaume wakila mavi na wewe utakula kwa kuwa wao wamekula?
Umeona lakini walivyoshinda ? Mikura mingi sana tofauti na wasiokuwa mawaziri walioshinda
 
Tupeni wasifu wa Ally Mlagila nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na mabasi ya "Mlagila" huko kyela bila shaka huyu jamaa atakuwa ndiye aliyekuwa mmiliki.
Itoshe tuu kukwambia kuwa Ni mtu wa fitna kisiasa yaani Ni shidaa
Hata huyu Hunter naye ni Faya,
Hawa miamba ndiyo vyuma vilivyomnadi mwakyembe 2015... Kiasi Cha kujitoa maisha, na wapambanaji kama jino moja

Siasa za Kyela za Moto sana
 
Back
Top Bottom