Kupima wanafunzi wa kidato cha pili kwa kutumia division ni kuharibu mfumo wa elimu

Kwa miaka kadhaa sasa baraza la mitihani ya taifa linatoa matokeo ya kidato cha pili kwa kutumia mfumo wa division tofauti na ule wa miaka ya nyuma wa wastani.Hii tasfiri yake kuwa mwanafunzi akiwa amepata D mbili na F saba au 9 basi anakuwa amefaulu kuendelea na kidato cha tatu na hatimae kuja kuhitimu kidato cha nne, tofauti na miaka ya nyuma ambapo mwanafunzi alitakiwa kupata walau wastani wa D ambayo ilikuwa ni wastani wa 30 ndipo aweze kuendelea na kidato cha tatu.

Sijui ni nani alishauri matumizi ya mfumo huu, kiukweli kuendelea kutumia mfumo huu ni kuandaa wanafunzi watakao kuja kupata division sifuri nyingi katika matokeo ya kidato cha nne, inawezekana vipi mwanafunzi apate D mbili na F zote maana yake anakuwa na division 4.33 akafanana na yule wa miaka ya nyuma aliyepata wastani wa 30? Nini chanzo cha matumizi ya division kwa mitihani ya kidato cha pili? au ndio mpango wa BIG RESULT NOW? au ni ni ile program ya EDUCATION FOR ALL iliyohasisiwa huko Indonesia iliyopelekea kuanzishwa kwa shule za kata?

Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda najua upo makini ni vyema sasa ukaanza na ili kwanza, hawa ni watoto wetu/wadogo zetu kuwapima kwa mfumo wa division ni kujidanganya sisi wenyewe ni heri wafaulu wachache ila matokeo yawe katika ubora unaotakiwa.Tusiogope wanafunzi kukariri madarasa kwa kuhofia kushuka kwa ufaulu wakati tunaharibu mfumo wa elimu kwa kuweka vitu visivyo hakisi maendeleo ya elimu.

Kuandika hapa haitoshi nitakupigia simu na kukuandika ujumbe mfupi Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda na kukueleza hili ,najua fika mtalifanyia kazi.

#ElimuNiYetuSisi
FACT
 
Sikuizi sio rahisi kumpata kijana aliyeishia kidato cha pili.
kwani hamjui kwamba kidato cha nne ndiyo elimu ya msingi. Siyo la saba tena.

Mambo sasa hivi yanafanyika kisiasa kuficha uozo wa mfumo wetu wa ELIMU. Hakuna mzazi anataka kusikia mwanae amefeli. Na wanasiasa wanajua hili.

Kwa mfumo huu maana yake huwezi kusikia kelele za elimu duni, au kiwango cha elimu kimeshuka.
 
Kwa miaka kadhaa sasa baraza la mitihani ya taifa linatoa matokeo ya kidato cha pili kwa kutumia mfumo wa division tofauti na ule wa miaka ya nyuma wa wastani.Hii tasfiri yake kuwa mwanafunzi akiwa amepata D mbili na F saba au 9 basi anakuwa amefaulu kuendelea na kidato cha tatu na hatimae kuja kuhitimu kidato cha nne, tofauti na miaka ya nyuma ambapo mwanafunzi alitakiwa kupata walau wastani wa D ambayo ilikuwa ni wastani wa 30 ndipo aweze kuendelea na kidato cha tatu.

Sijui ni nani alishauri matumizi ya mfumo huu, kiukweli kuendelea kutumia mfumo huu ni kuandaa wanafunzi watakao kuja kupata division sifuri nyingi katika matokeo ya kidato cha nne, inawezekana vipi mwanafunzi apate D mbili na F zote maana yake anakuwa na division 4.33 akafanana na yule wa miaka ya nyuma aliyepata wastani wa 30? Nini chanzo cha matumizi ya division kwa mitihani ya kidato cha pili? au ndio mpango wa BIG RESULT NOW? au ni ni ile program ya EDUCATION FOR ALL iliyohasisiwa huko Indonesia iliyopelekea kuanzishwa kwa shule za kata?

Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda najua upo makini ni vyema sasa ukaanza na ili kwanza, hawa ni watoto wetu/wadogo zetu kuwapima kwa mfumo wa division ni kujidanganya sisi wenyewe ni heri wafaulu wachache ila matokeo yawe katika ubora unaotakiwa.Tusiogope wanafunzi kukariri madarasa kwa kuhofia kushuka kwa ufaulu wakati tunaharibu mfumo wa elimu kwa kuweka vitu visivyo hakisi maendeleo ya elimu.

Kuandika hapa haitoshi nitakupigia simu na kukuandika ujumbe mfupi Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda na kukueleza hili ,najua fika mtalifanyia kazi.

#ElimuNiYetuSisi
Mtindo huu unasababisha sifuri na division Four nyingi kwenye matokeo ya kidato cha nne.
FB_IMG_16422424736620683.jpeg
 
kwani hamjui kwamba kidato cha nne ndiyo elimu ya msingi. Siyo la saba tena.

Mambo sasa hivi yanafanyika kisiasa kuficha uozo wa mfumo wetu wa ELIMU. Hakuna mzazi anataka kusikia mwanae amefeli. Na wanasiasa wanajua hili.

Kwa mfumo huu maana yake huwezi kusikia kelele za elimu duni, au kiwango cha elimu kimeshuka.
Hatari sn
 
Ni mfumo tuu wa kutoa matokeo ,D mbili na F zote hazina tofauti yeyote na wastani wa D, tatizo kubwa shule hazina walimu wa kutosha
 
Kabla ya kufikia huku au sambamba na hili... Hivi kweli, wale wanafunzi wa "NguoKuchanika" unatungia na kuwafanyisha mtihani sawa na Feza au St. Francis ??
 
hata hao wachache waliopo hawaipendi kazi yao mkuu, ndio maana muda wa kazi unamkuta kwenye bustani yake ya vitunguu
Walimu wametengwa. Hakuna anayewajali.
Shule nyingi za serikali hazina utofauti na mahabusu!
Watendaji wanatenda bora liende!!
 
Kwa miaka kadhaa sasa baraza la mitihani ya taifa linatoa matokeo ya kidato cha pili kwa kutumia mfumo wa division tofauti na ule wa miaka ya nyuma wa wastani.Hii tasfiri yake kuwa mwanafunzi akiwa amepata D mbili na F saba au 9 basi anakuwa amefaulu kuendelea na kidato cha tatu na hatimae kuja kuhitimu kidato cha nne, tofauti na miaka ya nyuma ambapo mwanafunzi alitakiwa kupata walau wastani wa D ambayo ilikuwa ni wastani wa 30 ndipo aweze kuendelea na kidato cha tatu.

Sijui ni nani alishauri matumizi ya mfumo huu, kiukweli kuendelea kutumia mfumo huu ni kuandaa wanafunzi watakao kuja kupata division sifuri nyingi katika matokeo ya kidato cha nne, inawezekana vipi mwanafunzi apate D mbili na F zote maana yake anakuwa na division 4.33 akafanana na yule wa miaka ya nyuma aliyepata wastani wa 30? Nini chanzo cha matumizi ya division kwa mitihani ya kidato cha pili? au ndio mpango wa BIG RESULT NOW? au ni ni ile program ya EDUCATION FOR ALL iliyohasisiwa huko Indonesia iliyopelekea kuanzishwa kwa shule za kata?

Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda najua upo makini ni vyema sasa ukaanza na ili kwanza, hawa ni watoto wetu/wadogo zetu kuwapima kwa mfumo wa division ni kujidanganya sisi wenyewe ni heri wafaulu wachache ila matokeo yawe katika ubora unaotakiwa.Tusiogope wanafunzi kukariri madarasa kwa kuhofia kushuka kwa ufaulu wakati tunaharibu mfumo wa elimu kwa kuweka vitu visivyo hakisi maendeleo ya elimu.

Kuandika hapa haitoshi nitakupigia simu na kukuandika ujumbe mfupi Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda na kukueleza hili ,najua fika mtalifanyia kazi.

#ElimuNiYetuSisi
Siasa siasa tu kila mahali. Tunaua elimu kama utani. F 4 ya juzi eti wastani wa Chemistry ni 92% nacheka kwa sauti.
 
Kwa miaka kadhaa sasa baraza la mitihani ya taifa linatoa matokeo ya kidato cha pili kwa kutumia mfumo wa division tofauti na ule wa miaka ya nyuma wa wastani.Hii tasfiri yake kuwa mwanafunzi akiwa amepata D mbili na F saba au 9 basi anakuwa amefaulu kuendelea na kidato cha tatu na hatimae kuja kuhitimu kidato cha nne, tofauti na miaka ya nyuma ambapo mwanafunzi alitakiwa kupata walau wastani wa D ambayo ilikuwa ni wastani wa 30 ndipo aweze kuendelea na kidato cha tatu.

Sijui ni nani alishauri matumizi ya mfumo huu, kiukweli kuendelea kutumia mfumo huu ni kuandaa wanafunzi watakao kuja kupata division sifuri nyingi katika matokeo ya kidato cha nne, inawezekana vipi mwanafunzi apate D mbili na F zote maana yake anakuwa na division 4.33 akafanana na yule wa miaka ya nyuma aliyepata wastani wa 30? Nini chanzo cha matumizi ya division kwa mitihani ya kidato cha pili? au ndio mpango wa BIG RESULT NOW? au ni ni ile program ya EDUCATION FOR ALL iliyohasisiwa huko Indonesia iliyopelekea kuanzishwa kwa shule za kata?

Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda najua upo makini ni vyema sasa ukaanza na ili kwanza, hawa ni watoto wetu/wadogo zetu kuwapima kwa mfumo wa division ni kujidanganya sisi wenyewe ni heri wafaulu wachache ila matokeo yawe katika ubora unaotakiwa.Tusiogope wanafunzi kukariri madarasa kwa kuhofia kushuka kwa ufaulu wakati tunaharibu mfumo wa elimu kwa kuweka vitu visivyo hakisi maendeleo ya elimu.

Kuandika hapa haitoshi nitakupigia simu na kukuandika ujumbe mfupi Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda na kukueleza hili ,najua fika mtalifanyia kazi.

#ElimuNiYetuSisi

Hakuna wizara inayochezewaga kama elimu Tanzania. Yaani kila waziri akija, kila rais akija kila badiliko lolote la waziri hata kama ni wawili au watatu katika awamu moja ya miaka mitano au kumi anaweza au atakuja na mabadiliko yake, sera zake sijui hakunaga nwongozo wa elimu angalau wa miaka 10 au hata 20 huko.

Kila siku tume haziishi, kuna uhuni mwingi sana huko hadi kubadilisha masomo, mfumo wa ufaulu mitihani hiyo ,vitabu nk nk.halafu hao wanaobadilisha na kuuchezea mfumo wa elimu na wizara sasa wala hkuna hata mmoja ambaye mwanae anasoma katika shule hizo za serikali. Nasema tena hakuna awe rais, waziri sijui katibu wa hiyo wizara HAKUNA, wao wako saint saint academia huko international na kwenye curicullum za camridge huko ism ist na feza feza.

Sasa hiyo inaonyesha jinsi gani mfumo wetu ulivyotoboka na kudharaulika wao wapo kutengeneza sera za kuhesabu per diem na madawati. Kwa kuongezea pia ndio moja ya wizara inayoongoza kwa kujengwa na kubomolewa kama kuunganishwa na kutenganishwa na wizara ama idara nyingine.
So expect the unexpected.
 
Back
Top Bottom