toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,840
- 10,268
Ubongo wetu umefanyaje ? Rais anateua watu wake watakaomsaidia kushind next electioo basi sasa utasemaje shida sio katiba, wateule wote wako obligated kumsikiliza mkuu kwa lolote analosema akipinga anatolewa kwenye nafasi hata kama alichokipinga kina maslai kwa taifa, mkuu hapa everything is connected to everything tuanze kwenye the root cause sio huku juu juu, unampaje mtu kazi kisa tu ni mkwe wako ? Ujinga ni mwingi mastaShida sio katiba tusitoane ufahamu shida inaanzia kwenye bongo zetu.