Kufuatia Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) kumtangaza bei mpya za nauli, nimeona mtazamo wa baadhi ya watu ukiwa kulekule vitu vinapanda bei sana.
Kufuatia mtazamo wa namna hiyo nami nitachangia machache juu ya faida za kupanda kwa nauli za usafiri huo husasani katika suala zima la uendeshaji na usimamizi wa mradi.
Mradi huu ni msaada mkubwa katika usafirishaji katika mkoa wa Dar es salaam. Umepunguza adha ya usafiri kwa kiwango kikubwa.
Tukirudi kwenye historia ya mradi, mradi huu umeanza kufanya kazi rasmi mwaka 2016 na mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 mradi umetimiza miaka 7 ya uendeshaji wake.
Tofauti na miradi mingine katika sekta ya usafirisha kwa kampuni binafsi ,mradi wa mwendokasi ni wenye uwekezaji mkubwa na kiasi kikubwa Cha uwekezaji huo ni mikopo ambayo haina budi kurejeshwa hivyo unahitajika usimamizi na uendeshaji mzuri.
Moja ya vitu vinavyoangaliwa sana kwenye usimamizi na uendeshaji wa miradi ni gharama. Na kwa kuwa mradi huu unategemea nauli ili kukidhi gharama hivyo kupanda kwa nauli hakuepukiki.
Kama nilivyosema mradi huu ni mkubwa ,unahusisha wafanyakazi wengi na kama mpaka sasa mradi una miaka 7 hivyo magari na miundombinu mingine ya mradi imeanza kuchoka na kuchakaa na hivyo panahitajika ukarabati mkubwa. Pia, wafanyakazi wa mradi wanahitaji ongezeko la mishahara na mambo mengine.
Pia, kama Return On Investment sio ya kiwango kikubwa kiasi Cha kugharamia mradi na kurejesha mkopo basi suala la kupanda kwa hakuepukiki.
Kupanda kwa gharama za nauli za mwendokasi ni kwa lengo la kutengeneza matokeo mazuri mazuri zaidi kwenye usimamizi na uendeshaji wa mradi.
Nitoe wito na rai, tuwaepuke wale wote wenye nia ovu ambao kwa kujua wanaamua kupotosha juu ya kupanda kwa nauli huku.
Kufuatia mtazamo wa namna hiyo nami nitachangia machache juu ya faida za kupanda kwa nauli za usafiri huo husasani katika suala zima la uendeshaji na usimamizi wa mradi.
Mradi huu ni msaada mkubwa katika usafirishaji katika mkoa wa Dar es salaam. Umepunguza adha ya usafiri kwa kiwango kikubwa.
Tukirudi kwenye historia ya mradi, mradi huu umeanza kufanya kazi rasmi mwaka 2016 na mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 mradi umetimiza miaka 7 ya uendeshaji wake.
Tofauti na miradi mingine katika sekta ya usafirisha kwa kampuni binafsi ,mradi wa mwendokasi ni wenye uwekezaji mkubwa na kiasi kikubwa Cha uwekezaji huo ni mikopo ambayo haina budi kurejeshwa hivyo unahitajika usimamizi na uendeshaji mzuri.
Moja ya vitu vinavyoangaliwa sana kwenye usimamizi na uendeshaji wa miradi ni gharama. Na kwa kuwa mradi huu unategemea nauli ili kukidhi gharama hivyo kupanda kwa nauli hakuepukiki.
Kama nilivyosema mradi huu ni mkubwa ,unahusisha wafanyakazi wengi na kama mpaka sasa mradi una miaka 7 hivyo magari na miundombinu mingine ya mradi imeanza kuchoka na kuchakaa na hivyo panahitajika ukarabati mkubwa. Pia, wafanyakazi wa mradi wanahitaji ongezeko la mishahara na mambo mengine.
Pia, kama Return On Investment sio ya kiwango kikubwa kiasi Cha kugharamia mradi na kurejesha mkopo basi suala la kupanda kwa hakuepukiki.
Kupanda kwa gharama za nauli za mwendokasi ni kwa lengo la kutengeneza matokeo mazuri mazuri zaidi kwenye usimamizi na uendeshaji wa mradi.
Nitoe wito na rai, tuwaepuke wale wote wenye nia ovu ambao kwa kujua wanaamua kupotosha juu ya kupanda kwa nauli huku.