Kuongoza nchi si mchez0.

Kuongoza nchi si mchez0.

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Jamani ndugu wana jamvi wenzangu,
Nimekumbana na hizi pics nikaona ni vyema tuka-share pamoja.
Kutokanana na hizi picha ninaweza kusema KUONGOZA NCHI si lele mama. Mwangalie vizuri JK kwenye shingo yake.........angalia pia picha ya 2 usoni......mmmmmmmhhh.


IMG_1643.jpg


IMG_1730.jpg
 
Nafikiri hizi picha zimekuwa doctored mafano ile ya kwanza
hakuna consistency kati ya shingo na uso. Shingo inanekana
kama imezeeka kuliko uso. Kawaida mtu akizeeka ngozi
ya shingo pamoja na ile ya uso huanza kudondoka.

Hata kama tunampinga JK hii sasa ni too much (personal attack)
ambaya siyo sahihi. Tupinge hoja na uwajibikaji wake sio
vitu personal kama hivi kwasababu mwisho wa siku haileti tija.
 
CRAP, CRAP, CRAP, acha ushabiki, hizi ni picha halisi za JK, the best you would do ni ku-apreciate kuwa there are moments he looks serious on issues na si kudhani kuwa ni "personal" attack. Au wewe ndo JK mwenyewe?!, unapenda usifiwe kuwa ni kijana!.

Nafikiri hizi picha zimekuwa doctored mafano ile ya kwanza
hakuna consistency kati ya shingo na uso. Shingo inanekana
kama imezeeka kuliko uso. Kawaida mtu akizeeka ngozi
ya shingo pamoja na ile ya uso huanza kudondoka.

Hata kama tunampinga JK hii sasa ni too much (personal attack)
ambaya siyo sahihi. Tupinge hoja na uwajibikaji wake sio
vitu personal kama hivi kwasababu mwisho wa siku haileti tija.
 
CRAP, CRAP, CRAP, acha ushabiki, hizi ni picha halisi za JK, the best you would do ni ku-apreciate kuwa there are moments he looks serious on issues na si kudhani kuwa ni "personal" attack. Au wewe ndo JK mwenyewe?!, unapenda usifiwe kuwa ni kijana!.

LOL siyo kiivyo ndugu mimi niliona kama iko doctored lakini kama
ni real basi OP anisamehe kwasababu kweli nitakuwa nimemkosea.
Hata hivyo mimi siyo CCM na wala sifurahishwi na jinsi JK anavyo
iongoza nchi.

God bless you.
 
Neither am I "CCM", but that is the true picture of JK.
LOL siyo kiivyo ndugu mimi niliona kama iko doctored lakini kama
ni real basi OP anisamehe kwasababu kweli nitakuwa nimemkosea.
Hata hivyo mimi siyo CCM na wala sifurahishwi na jinsi JK anavyo
iongoza nchi.

God bless you.
 
Duuh kweli kaisha ama kweli kuongoza wa2 mil.40 sio mchezo......
 
Jamani ndugu na jamvi wenzangu,
Nimekumbana na hizi pics nikaona ni vyema tuka-share pamoja.
Kutokanana na hizi picha ninaweza kusema KUONGOZA NCHI si lele mama. Mwangalie vizuri JK kwenye shingo yake.........angalia pia picha ya 2 usoni......mmmmmmmhhh.


IMG_1643.jpg


IMG_1730.jpg

Aliyataka mwenyewe! Ngoja akome na kukomaa mpaka ngozi idondoke chini kabisa.
 
Ana bahati mvi hazijamjaa, angetisha zaidi ya hapo.

Even Obama kazeeka sana baada ya kuwa raisi wa U.S.A

Sababu hasa ni nini ? mawazo au kuogopa kupinduliwa ghafla?
 
Nafikiri hizi picha zimekuwa doctored mafano ile ya kwanza
hakuna consistency kati ya shingo na uso. Shingo inanekana
kama imezeeka kuliko uso. Kawaida mtu akizeeka ngozi
ya shingo pamoja na ile ya uso huanza kudondoka.

Hata kama tunampinga JK hii sasa ni too much (personal attack)
ambaya siyo sahihi. Tupinge hoja na uwajibikaji wake sio
vitu personal kama hivi kwasababu mwisho wa siku haileti tija.

Hakuna kitu ndivyo alivyo kwa sasa miaka haigandi na ongeza speed ya cdm na ndani ya ccm kwenyewe lazima azeeke haraka haraka kila sehemu.
 
Wajue wote wanaotaka kukimbilia Ikuku kwamba kule hakuna lelemama
 
duuh!!!!!!!!!!Kumbe zile picha za kwenye kampen alikuwa anakandikwa ma powda????but mbona Mkapa hakuchakaa kiac hiki?na bado,mpaka 2015 cjui utakuwaje!
 
Ana bahati mvi hazijamjaa, angetisha zaidi ya hapo.

Even Obama kazeeka sana baada ya kuwa raisi wa U.S.A

Sababu hasa ni nini ? mawazo au kuogopa kupinduliwa ghafla?

Siamini suala la kupinduliwa linaweza kumzeesha kiasi hiki. Tanzania kuna matatizo kibao na mengi yanategemea mwongozo wake. Kuna matatizo mengine ambayo yanamgusa yeye mwenyewe moja kwa moja kwa njia moja au nyingine kama DOWANS, Bulyankulu, Meremeta, Kagoda, Deep Green, EPA, Ombwe na uongozi kwenye chama na serikali na mengineyo. Huku Chadema nao wanawasha moto kuhusu ugumu wa maisha kwa watanzania huku wachache wakineemeka. Kwa mdundo huo, lazima tu kutakuwa na mabadiliko kwenye mwili and even psychologically.
 
hii thread sijaona kama ina tija, ni kweli mh presidaa hapa anaonekana kachoka mbaya! lkn ina haja gani? kikubwa ni kuangalia utendaji wake. au mtoa thread unataka kuhusisha mwonekano/kuchoka kwake ktk picha hizi na utendaji wake wa kila siku?
 
Maskini amechoooka utadhani omba omba wa mnazi mmoja!!! kumbe hata c h u p i anafuliwa!!!!:juggle::juggle:
 
Hata hivyo na umri umekwenda...wote tuna kua huwezi kutegemea mtu atakaa kama alivyozaliwa. Mie naona kawaida tu
 
Back
Top Bottom