Kuongoza nchi si mchez0.

Kuongoza nchi si mchez0.

alifanya fitna kupata urais sasa hana hamu tena, kachoka kweli kweli
 
Mkuu ni mapenzi yamekuzidi kwake au vipi? tafuta hata kwenye magazeti picha hizi ni halisi.....
Nafikiri hizi picha zimekuwa doctored mafano ile ya kwanza
hakuna consistency kati ya shingo na uso. Shingo inanekana
kama imezeeka kuliko uso. Kawaida mtu akizeeka ngozi
ya shingo pamoja na ile ya uso huanza kudondoka.

Hata kama tunampinga JK hii sasa ni too much (personal attack)
ambaya siyo sahihi. Tupinge hoja na uwajibikaji wake sio
vitu personal kama hivi kwasababu mwisho wa siku haileti tija.
 
zinazokua photoshoped ni zile za kampeni hizi ni real
zote ni real mkuu

mwisho tutakuja kuwaambia watu kwamba hata alipoanguka ile video siyo kweli ilikua doctored

denial ni ugonjwa mbaya sana
 
ha ha haa!wana jf mna kasheshe wachaa!na kula anakula uzurii!cjui akifikia umri wa mugabe atakuaje,ale mboga mboga kwa bidii
 
Nafikiri hizi picha zimekuwa doctored mafano ile ya kwanza
hakuna consistency kati ya shingo na uso. Shingo inanekana
kama imezeeka kuliko uso. Kawaida mtu akizeeka ngozi
ya shingo pamoja na ile ya uso huanza kudondoka.

Hata kama tunampinga JK hii sasa ni too much (personal attack)
ambaya siyo sahihi. Tupinge hoja na uwajibikaji wake sio
vitu personal kama hivi kwasababu mwisho wa siku haileti tija.

mkuu inawezekana kabisa kuwa Mzee hakupitishwa kufanyiwa makeup, na pia ukumbuke kuwa jk si kijana ni mzee yule. kwa umri wake sura kuonekana hivyo si kitu cha ajabu kama hajafanyiwa brushing usoni.
 
LOL siyo kiivyo ndugu mimi niliona kama iko doctored lakini kama
ni real basi OP anisamehe kwasababu kweli nitakuwa nimemkosea.
Hata hivyo mimi siyo CCM na wala sifurahishwi na jinsi JK anavyo
iongoza nchi.

God bless you.

:lalala::boom:
 
Hivi JK huwa ana maji yake special? manake huwa naona kama yana rangi vile, sio purely transparent.
 
Ana bahati mvi hazijamjaa, angetisha zaidi ya hapo.

Even Obama kazeeka sana baada ya kuwa raisi wa U.S.A

Sababu hasa ni nini ? mawazo au kuogopa kupinduliwa ghafla?

kwa Obama hofu ni mataifa ya kiarabu kwani yamekuwa na nguvu ya kiuchumi kutokana na mafuta, ila kwa JK .....mmmmh am not sure kama kuna linalomtia shaka zaidi ya maandamano ya CHADEMA!! maana kama isues zinazotikisa maisha ya mtanzania kama vile hali ya ngumu ya maisha, uchumi duni, huduma mbovu za afya , miundombinu, uvunjivu wa sheria uliokithiri, ubarilifu wa fedha za umma, kutokuwajibika kwa watendaji, mgao wa umeme, mfumuko wa bei n.k. n.k. hata havimshtui, viko siku nyingi lakini wala hakuacha kutabasamu!!! sembuse leo kukonda??? tuseme nini wananchi??? nadhani ni CHADEMA tu na si lingine
 
Chamoto usipinge hii hoja! mfano mzuri angalia na picha hii ya nyuma na hiyo ya sasa hivi ndipo utapata picha halisi kua JK umri umeshamtupa mkono!
2237648017_04c5ece830.jpg
 
Guys let us give the old man a break. He has more than 60 years of age.
 
Rais kijana huyu. me cjaona kama amezeeka sana mbona yupo fresh tuu.
 
Mwangalie alivyotoa macho maskiniiiiii rais wetu hapo bado miaka minne
 
Huyu ni yuleyule mwenye baby face? miaka mitano baby face kwisha kazi!
Mimi sielewi wanaokimbilia huko wanakwenda kutafuta nini?
 
Mie nimenoti vitu viwili kwenye picha ya pili. Moja: Kiongozi wetu anakimobiteli. Call logs na SMS zake ni public information kama Rais ama ni personal? Kama ni public, I'm curious kuziona. Na vile vile kwenye bilauri ni maji ya madafu au maji ya DAWASCO?
 
Out of Topic: Ukiangalia kiti anachotumia hasa tangu alipoanza kutembelea hizi wizara ni kile kile au huwa anatembea na kiti chake?
 
Back
Top Bottom