Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,421
- 4,729
Kwa maeneo niliyopo, kusemaukweli awamu iliyopita kulikuwa na utulivu kwa kiasi kikubwa. Vijana wengi walihofia kuwekwa ndani na hivyo kujiepusha na matukio ya uhalifu.
Wengi wao walijishughulisha kwa bidii kwa kufanya shughuli mbalimbali kama vile biashara ndogondogo (machinga) ufundi na kazi nyingine za kutwa.
Hivi sasa matukio ya uhalifu wa mitaani yameongezeka sana. Ni kama vile watu walikuwa wanasubiri nafasi ya kutenda.
Je, chanzo hasa ni nini?
Wengi wao walijishughulisha kwa bidii kwa kufanya shughuli mbalimbali kama vile biashara ndogondogo (machinga) ufundi na kazi nyingine za kutwa.
Hivi sasa matukio ya uhalifu wa mitaani yameongezeka sana. Ni kama vile watu walikuwa wanasubiri nafasi ya kutenda.
Je, chanzo hasa ni nini?