Uchaguzi 2020 Kuona ni Kuamini: Je, Oktoba 28, utachagua nini kati ya unachoona kwa macho kitu cha ukweli kilichopo vs ahadi tupu? Msikilize Masanja Mkandamizaji...

Mkuu Babati kama watu mko100, kati ya hao, 100, ni mtu mmoja tuu mwenye akili timamu, hata mchagua, wale 99 watamchagua!.
October 28 ni Magufuli, mitano tena!.
P
Watanzania hawataki mtu wa kutumia TRA kuwakomoa wafanyabiashara wakubwa kuwapora pesa zao kuwapa kesi kesi za uhujumu uchumi, BOT kuzuia pesa toka nje kukosa pesa baada ya watanzania wengi kutumia Kenya na Uganda kupitishia pesa zao ambapo benk kuu za huko hawana ujinga kama uliopo Tanzania ambao umesababisha watanzania wengi kununua nyumba Nchi zingine wanaoshi bila usumbufu wowote
 
Nami nimeshangaaa! Yaani Mayalla wa kumtumia Masanja huyo kuthibitisha anachotaka tuamini? Nilimsikia hata Polepole akimtaja huyo Masanja kuwa naye ni shahidi kuwa ule uwanja wa ndege uliojengwa kwa Mizengo, kuwa unafanya kazi, kwani naye aliutumia! Lakini sikutegemea Mayala naye kumtumia. Polepole yeye ni sawa, kwani ni MSANII MWENZIE!
Paskal mayala na masanja wana njaa ya uteuzi ndiyo maana wamejitoa fahamu zote
 
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
Nchi imekuwa ya kesi kesi uonevu unyanyasaji mwingi hawataki maendeleo na hata huto tuvimaendeleo kiduchu twa flyover SGR ununuzi Ndege kuna ufisadi na 10% za wajanja wachache huko CCM, pesa zote zinazunguka zinamrudia yeye mtukufu kutokana na miradi yote kuzungukwa na kampuni zake za ndugu zake na marafiki zake.
 
Mkuu elvischirwa, its true, posts zangu hazifanani, kwa vile mimi ni mwandishi, I cut across the society, kuna posts za viwango vya ma GT, hizi ni posts za kuzungumzia idears, kuna posts za watu wa kawaida, hizi zinazungumzia events, na matukio, na kuna posts za kiwango cha chini kabisa kumfikia yule mtu wa kawaida kabisa kule chini kabisa wale simple minds.

Kwenye makundi hayo matatu, wale ma GT, wao tayari ni decided, wameishaamua watamchagua nani, hivyo hata uwaambie nini, huwezi kuwabadilisha, hawa hahitaji elimu yoyote wala ushawishi wowote, mfano mzuri ni watu wa Jimbo langu la Kawe, wengi ni the elites na well off, ukiwaletea crap, watachinjia baharini, you can't convince them, they have already decided watamchagua nani.

Ordinary people ndio wanaoshawishiwa kwa kampeni, hoja na sera.

Wale simple mind, hawa ndio walengwa, they are the undecided, hawa wanashawishika kwa vitu vidogo tuu, tshirt, kofia na shibe ya siku moja, is enough, hata kuona tuu picha ya mgombea. Hawa sasa ndio walengwa wangu wa mabandiko yangu yote hadi tarehe 27, saa 12:00 jioni.

Amini usiamini, bandiko hili ni bandiko stahiki..
P
Simple minds! Elites! Welloffs! Kweli wewe mwandishi wa habari kiboko, unawadharau wasomaji wako kiasi hicho na kuwataka wakujue wewe si mwenzao kimaisha! Unaishi Kawe na ni well off! And so God bless you.
Many members today see you as a collaborator, and you know what you are, you are what you are.
Karibu kwetu Manzese kwenye simple minds japo nyie mmetulazimisha kutuingiza uchumi wa kati tukiwa na mlo mmoja nao wa mashaka!
 
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali
Yaani Paskali unafeli sana kila siku zinavyoenda
 
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali
Mawazo ya KiJIMA Kama haya yangezingatiwa, nchi zoote za Africa zisingepata Uhuru toka kwa wakoloni weupe
 
Simple minds! Elites! Welloffs! Kweli wewe mwandishi wa habari kiboko, unawadharau wasomaji wako kiasi hicho na kuwataka wakujue wewe si mwenzao kimaisha! Unaishi Kawe na ni well off! And so God bless you.
Many members today see you as a collaborator, and you know what you are, you are what you are.
Karibu kwetu Manzese kwenye simple minds japo nyie mmetulazimisha kutuingiza uchumi wa kati tukiwa na mlo mmoja nao wa mashaka!
Mkuu @elivischirwa, licha ya wazazi wangu kuwa watumishi wa serikali, humu jf, sijawahi kusema, nimekulia wapi, wala nimesomea wapi primary, maana itakuwa ni kama kujidai, siwezi kujiona bora kwa sababu ya makuzi au makazi, japo nimetokea familia bora, nimejikuta napenda zaidi mambo ya Uzwazi, hata wakati nikiwa chuo, UDSM, watu wa type yangu wakihangaika na watoto wa kishure, mimi nilikuwa natia timu, Manzeshe pale Lambo Bar. Enzi zangu nikiwa nafanya kazi RTD, kona yangu ilikuwa Buguruni maeneo ya Sewa. Nilipokuwa TBC, kona yangu ni Kona Bar!.

Lakini lazima tuwe wakweli, japo binadamu wote ni sawa, lakini kutokana na life style, watu wa Oysterbay, Masaki, Mikocheni, sio sawa na Manzese, Buguruni au Kawe Ukwamani, ndio maana huwezi kusikia mkutano wa kampeni Masaki au Oyster Bay, huko ni kwa the decided, mikutano ya kampeni ni kwenye watu wa kawaida na watu wa chini, and usually, the undecided ni watu wa chini, kutokana na mode of living, na life style, wengi wasiposaidiwa kufanya informed decision, watachagua kwa mkumbo tuu au kwa upepo, kama sasa avumavyo upepo wa Lissu, hawa watu wa chini, watajukuta wamebebwa na upepo wa Lissu na watamchagua Lissu kwa mkumbo tuu, ukiuliza wanamchagulia nini, hawana cha kusema, wao ni Lissu tuu kwasababu upepo ndiko unakovumia!, ninachokifanya kwenye bandiko hili, na mabandiko mengine 4 yanakuja kuanzia leo bandiko moja, kesho moja, J.3 moja na la mwisho J.4, hawa wenzangu na mimi ambao wanabebwa tuu na upepo wa fulani, wafanye an informed decision ya kumchagua mtu for a reason.

P
 
Yaani Paskali unafeli sana kila siku zinavyoenda
Mkuu FOCAL , inawezekana kweli ninafeli sana, kwa vile mtihani ni October 28, baada ya mtihani, tukutane tena, tuonyeshane karatasi ya majibu ya mtihani kuangalia nani kafeli na nani kapasi!.
P
 
Kwani magufuli kabla ya kuwa Rais alijenga chochote cha umma kwa pesa zake binafsi? Kwa maendeleo ni pesa binafsi tokea mfukoni mwake? au ni pesa za walipa kodi? Ofisi ile ile inatosha kwani kama ile ofisi ndogo iinawatoa macho CCM mpaka wamepagawa, vipi siku chadema wamiliki mjengo wa ghorofa Kubwa si watamtuma Le mutuz awaroge wote wafe kabsa
Hiyo ruzuku na makato ya mishahara ya wabunge ni pesa binafsi?

Iweje Chadema ishindwe kupanga na kujenga hata choo sembuse ofisi ya makao makuu?
 
Mkuu chilubi , hakuna kitu kizuri kama kuukubali ukweli, usiwe na wasiwasi na amani ya Zanzibar na Pemba, hali itakuwa shwari, Maalim Seif tayari ni jioni, at 77, with vingora, mafao mazuri ya kustaafu, atakubali kuwa Makamo, tatizo labda liwe wafuasi, CinC aliishawaeleza
kwenye bandiko hili, nilizungumzia amani ya Zanzibar

P
Amani hamna kama hakuna haki....!
 
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali
Je kila kijiji kilipata 50 million na walimu walipata computer mpakato?
 
Kwa nini wewe
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali
Bw. Pascal kwa nini baadhi yenu mnathamini ahadi? Nakumbuka tuliwa kuwa na orodha ya list ya ahadi za Mgombea miaka ya 2000 zaidi ya ahadi 1,500! Na hakutekeleza hata 1%.

Twende kwenye mambo ya msingi zaidi yanayogusa maisha ya kila siku ya Mtazania wa kawaida. Vitu kama afya, elimu, lishe bora......kwa nini mpaka leo havijawa kama maelfu ya ahadi yalivyo kwa miongo mingi sasa?
 
Hata huyo aliyefanya hivyo vitu kabla ya urais hatukujua atavifanya, sasa hata lisu anaweza kuvifanya maana atatumia kodi zetu pia.
Paskali unakua kama hujasoma bana
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali
 
Back
Top Bottom