Uchaguzi 2020 Kuona ni Kuamini: Je, Oktoba 28, utachagua nini kati ya unachoona kwa macho kitu cha ukweli kilichopo vs ahadi tupu? Msikilize Masanja Mkandamizaji...

Mtanzania, ungana nami kusherehekea mafanikio katika sekta ya usafiririshaji ambayo haya ni maendeleo ya vitu yanayochochea maendeleo ya watu.

Serikali ya awamu ya tano imenunua meli kubwa ya kisasa iitwayo Mv Amani ambayo itafanya safari zake katika ziwa Tanganyika na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa ndugu zetu wa Kigoma.

Meli hiyo inauwezo wa kubeba abiria 600, magari 50 na mizigo tani 3500. Hongera Sana serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli.

#maendeleohayanavyama

Amani
Haya wale wenye imani haba, kwao ni mpaka kuona ni kuamini, oneni, na October 28, fanyeni mambo by doing the right thing!.

P
 
Haya wale wenye imani haba, kwao ni mpaka kuona ni kuamini, oneni, na October 28, fanyeni mambo by doing the right thing!.

P
Pascal natamani kama watu wangeelewa kuwa Magufuli ni zaidi ya zawadi kwa watanzania.
Natamani wale wanaopata heshima ya kufanya nae kazi moja kwa moja wajitume haswa haswa. Asiwepo hata mmoja wa kutumbuliwa.

Mzee Magufuli ametuheshimisha sana. Natamani kukutana nae walau nimpe mkono
 
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali
P, wewe na Masanja mwaongozwa na njaa.
Kwao Masanja (Mchg Mgaya) ni huko Upangwa.
Hakuna hata barabara kakalia kusifia madaraja ya Dar.
Mchungaji aamue kimoja asiwe popo
 
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali

You’re thruthful, lakini jiandae kupokea tani kadhaa za matusi na demeaning language kutoka kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema)!
 
Pole sana,
Acha kujidanganya na hekaya za abunuwas.
Siku Mchungaji Emanuel Mgaya(Masanja Mkandamizaji) akikupeleka kwao Upangwa ndio utapata akili itakayo kufumbua macho.
Upangwa n upangwa na Dar n Dar. Uzuri alichokisifia kipo na kinaonekana. By the way, mmeanza lini kuwa na interest za maendeleo ya vitu na kutaka upangwa napo kupate maendeleo ya vitu?

Halafu kwa taarifa tuu: mtu wa Mungu mchungaji Masanja ni kijana aliyebarikiwa sana mjini na mashambani. Kama Ni njaa nikuhakikishie hana. Uliza uambiwe, yuko vizuri.

Kama yeye anaisifu serikali kwa mazuri iliyoyafanya, mimi ni nani hata ninyamaze?
 
Upangwa n upangwa na Dar n Dar.
HEEE, Upangwa ni kwao.
Maendeleo ya watu ndio maendeleo ya kweli yanayohitajika kwao na kwa yeyote mwenye kwao.
Hayo ndio MTU mkweli anatakiwa kujitoa kuyasifu.
Kusifu sifu tu hata kama jambo halileti maendeleo ya kweli ya watu ili tu kufurahisha MTU ndio njaa yenyewe.
Na ndio imekuwa ugonjwa mkubwa katika miaka hii mitano ya giza.
AMEN
 
Nimesoma heading tu, nikaamua kukoment bila kusoma kontenti maana najua umeandika ugoro.

Kwani 2015 alipochaguliwa Magufuli, ahadi zake zilikiwa zimeshaanza kutimizwa?

Kama tulivyomchagua Magufuli huku akiwa hajawahi kuahidi na kutimiza hapo kabla(maana hakuwahi kuwa Rais kabla ya 2015), ndivyo nitakavyomchagua Lisu mwaka 2020 ambaye naye hajawahi kuwa Rais lakini ambaye naona hatakuwa na serikali iliyojaa USHAMBA NA ULIMBUKENI WA MADARAKA.
2tumeyaona mengi kweli ya akina Alphonce mawazo
Luenda diwan Moro
Akwilin akwilin
Azory gwanda
Simon kaguye
Na mengine mengi
Pascal Mayalla hatutoacha kuchagua haki
 
Wanabodi,

Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha Watanzania, to make an informed decisions, wachague viongozi bora, watakao waletea maendeleo, na kuchagua vyama vyenye uwezo wa kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

Sasa kwa vile uchaguzi wa mwaka huu una ushindani mkubwa kati ya kuna chama chenye uwezo, the ability, the capacity and the capability ya kuwaletea Watanzania, maendeleo ya kweli, ambacho kiliahidi, na kimetekeleza, halafu kuna msururu vya vyama vya ahadi tuu, ili Watanzania waweze kufanya an informed decisions, tuwasaidie kuona vitu visivyo onekanika, kuona ni kuamini, tuwasaidie Watanzania waone, kisha tuwape uhuru wa kuchagua, ama wachague kitu cha ukweli, kinachoonekanika, au wachague ahadi tupu kama tulivyo ahidiwa mbingu na peponi.

Last week, nimekutana mahali na Msaanii Masanja, Mkandamizaji, msikilize kwa makini, anasema nini na anawashauri nini Watanzania.

Kwa faida ya wale wenzangu na mimi, ambao bundles na ku play video clips ni issue, naomba kuwasaidia, kwa kifupi Masanja anasema, ukimsikia mgombea anasema ataleta maendeleo, usiishie kusikiliza tuu ahadi za kuleta maendeleo, pali mfanyie huyo mgombea the simple assessment test ya his/her ability, capacity and the capability ya kuwaletea maendeleo, kwa kuangalia personal development yake, amewahi kufanya nini, kujenga nini au kuleta maendeleo gani, ukiona ana kitu cha kuonyesha, then mchague, atawaletea maendeleo ya kweli kwa sababu ameonyesha uwezo. Lakini kama hana chochote cha kuonyesha, ambacho alikwisha fanya, then ujue mgombea huyo ana piga tuu blah blaha lakini hawezi kuleta maendeleo yoyote.
Hivyo kwanza ona,
View attachment 1610040

Kisha Amini na tarehe 28 October, ufanye uamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi wa ukweli, wa kuleta maendeleo ya kweli, kutoka vyama vya ukweli vya maendeleo.

Paskali
Kusema ukweli hapo kawachana live Chadema. Chama hakina ofisi eti kitaleta maendeleo! Ahahahahah!!!
 
Back
Top Bottom