Kuolewa na Mzungu Tanzania, ni Ticket ya U-celebrity au Njaa?

Hilo ni tatizo ni hulka tu na wazungu wanaokuja kuoa huko mara nyingi wameshastaafu huku na ni vibabu wanatumia tu hela.
Kitu kingine hata wakisikia kuna jamaa anatoka nje ya nchi basi wanapapatikia sana hata hawajui jamaa ana ishu gani huku wao wako tayari kuolewa hata waje wawe wakinamama wa ndani tu na wengine wako radhi hata waache kazi zao za maana ile kuambiwa mtu yuko Ulaya basi wanajisikia raha sana sio kila mtu anaenjoy huku bana ohoo

Umenikuna, sio kila aliyeko ulaya ana ishu za maana, wengine wauza bangi,nk...hapa wengine kurusha gazeti (wa aftenposten mnajijua pande ya tussen takk) lakin cku wakishuka bongo kila mtu anajua ulaya dili....wapiii mtakuja kuingia vyoo vya wakwe
 
Njaa tu hakuna kingine ,wengi tu hawana heshima na ndoa zao coz wanajua wamefuata fedha na umaarufu uchwara
 
mange and co,ndio mnaomtafuta humu uchokozi,nashangaa yeye na nsia swai mada za kuwadhalilisha ndio zinaaachwa JF sijui waliwakosea nini?
kabisa mange yeye alikuwa changudoa dubai, kalala sana na wazungu mpaka alipotokea mme! na anamchuna haswa!!!!!!!!!!!!!!! Awwwwwwwwwwwwwwwwwwwww
 
Wanatuharibia watoto wetu wa kike maana wankwenda kujianika runway kisa wazungu. Kulikuwa na mfaransa mmoja Mikocheni Warioba alikuwa muathirika alikuwa anabadilisha watoto wa kibongo na aliishiwa pesa mpaka ubalozi wao ukamrudisha kwao. Mabinti angalieni hawa wadhungu wengine wanalala broadway mtaani kwao hata insurance hawana. Abongo tunashoboka sana kwa wageni hata alikuwapo muangola(Nelson) mmoja wa ubalozini upanga pale aliwakanyaga mabinti kaacha watoto na magonjwa juu.
 
Ona kama hii nimeikuta kule kwny U turn, hawa dada zetu wanaumia kwa kweli

dear mange mimi ni shabiki yako namba moja na i hope umesaidia wengi kupitia hii blog.mimi naitwa hellen naishi hapa uk.kifupi nilikua naomba uitoee hii habari kwenye blog yako ili nipate msaada kwa wana uturn,niaishi na jamaa kwa muda wa miaka mitano sasa na nimebahatika kuzaa nae watoto wawili ,nina umri wa miaka 26 na jamaa ana 52.tatizo nilionalo cjawahi kumpenda kimapenzi since day one ni maisha tu ndo yaliyonifanya niwe nae lkn muda unavyozidi kwenda ndo naona kama nampotezea muda mshikaji na ninajitesa mwenyewe sababu nahisi kuna kitu nakikosa (hana time ya kua romantic ni muda wote yupo serias matusi na dharau pamoja na kunisimanga kila siku kwamba alivyokutana na mimi nilikua masikini mwa kutupwa ,ckua na nguo sisi bcak wapumbavu, nilivumilia naona kama nimeshindwa kuvihimili)na hana muda wa kuspend na watoto lkn anawajali kwa kila wanachokitaka . nilikutana na jamaa mmoja ambae tumekua na mahusiana ya siri kwa muda wa miaka 3 sasa jamaa ananipenda na kunijali na anasema yupo tayari kuwa na mimi ,nimemchunguza nimemuona ni mtu mcha mungu na anamapezi ya dhati je wadau mnanishauri vipi?pls mange dont show my email
 
puuu ni balaa unakuta kazee kamechoka kanakimbiliwa na dada zetu puuu shida ni mbaya. sasa ukutanishe shida ya mwesi na mweupe puuu ni balaa.shidaa shidaaa
 
Jamani hawa wazungu ikija kwenye suala la kupeana raha chumbani ni zero kabisaaaaaaaaaaaaa.

Lakini wanajua kupenda na akikupenda basi wewe ni malkia.

Makaka zetu wa kibongo ikija kwenye suala la kuridhishana wala usiongee..they will take you to the moon..ila sasa tatizo lao na wao mtapangwa foleni kama kumi hivi..utadanganywa kama mjinga,muda mwingi yupo na washkaji badala ya girlfriend au familia.kitu ambacho hakipo kabisaa kwa wazungu.mzungu akikupenda ni wewe tu , hatawachanganya,akikuchoka atakuambia na hakudanganya kama hawa waswahili wenzetu.thats the bigest difference

hilo ndio kubwaa linalotufanya tukimbilie kwa wazungu


Wengi wanao wakimbilia wazungu ni matatizo ya kiuchumi (financial) especial dada zetu
 
Ona kama hii nimeikuta kule kwny U turn, hawa dada zetu wanaumia kwa kweli

dear mange mimi ni shabiki yako namba moja na i hope umesaidia wengi kupitia hii blog.mimi naitwa hellen naishi hapa uk.kifupi nilikua naomba uitoee hii habari kwenye blog yako ili nipate msaada kwa wana uturn,niaishi na jamaa kwa muda wa miaka mitano sasa na nimebahatika kuzaa nae watoto wawili ,nina umri wa miaka 26 na jamaa ana 52.tatizo nilionalo cjawahi kumpenda kimapenzi since day one ni maisha tu ndo yaliyonifanya niwe nae lkn muda unavyozidi kwenda ndo naona kama nampotezea muda mshikaji na ninajitesa mwenyewe sababu nahisi kuna kitu nakikosa (hana time ya kua romantic ni muda wote yupo serias matusi na dharau pamoja na kunisimanga kila siku kwamba alivyokutana na mimi nilikua masikini mwa kutupwa ,ckua na nguo sisi bcak wapumbavu, nilivumilia naona kama nimeshindwa kuvihimili)na hana muda wa kuspend na watoto lkn anawajali kwa kila wanachokitaka . nilikutana na jamaa mmoja ambae tumekua na mahusiana ya siri kwa muda wa miaka 3 sasa jamaa ananipenda na kunijali na anasema yupo tayari kuwa na mimi ,nimemchunguza nimemuona ni mtu mcha mungu na anamapezi ya dhati je wadau mnanishauri vipi?pls mange dont show my email

Haki-ya-Mungu hawa watu akili zao zinawatosha wao wenyewe eti anadai jamaa ni mcha mungu, muungwana tu awezi lala na mke wa watu kwa miaka mitatu itakuwa mcha mungu wajameni.
 
Hilo ni tatizo ni hulka tu na wazungu wanaokuja kuoa huko mara nyingi wameshastaafu huku na ni vibabu wanatumia tu hela.
Kitu kingine hata wakisikia kuna jamaa anatoka nje ya nchi basi wanapapatikia sana hata hawajui jamaa ana ishu gani huku wao wako tayari kuolewa hata waje wawe wakinamama wa ndani tu na wengine wako radhi hata waache kazi zao za maana ile kuambiwa mtu yuko Ulaya basi wanajisikia raha sana sio kila mtu anaenjoy huku bana ohoo
wape darasa...[uko delaware?....mama wa bond 1998?]
 
red-hadhi ya uzungu ndio ipi? au na wewe una kasumba?
blue-fact hii umeifanyia utafiti kwa ndoa ngapi na wazungu wa nchi zipi?
kwa namna alivyoeleza kwenye sredi hadhi ya uzungu inaeleweka na sio hii ya wazungu trash tuwaonao
wewe tutajie nani mzungu wa uzungu wa kweli aliyeoa mweusi???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom