Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Hilo ni tatizo ni hulka tu na wazungu wanaokuja kuoa huko mara nyingi wameshastaafu huku na ni vibabu wanatumia tu hela.
Kitu kingine hata wakisikia kuna jamaa anatoka nje ya nchi basi wanapapatikia sana hata hawajui jamaa ana ishu gani huku wao wako tayari kuolewa hata waje wawe wakinamama wa ndani tu na wengine wako radhi hata waache kazi zao za maana ile kuambiwa mtu yuko Ulaya basi wanajisikia raha sana sio kila mtu anaenjoy huku bana ohoo
Umenikuna, sio kila aliyeko ulaya ana ishu za maana, wengine wauza bangi,nk...hapa wengine kurusha gazeti (wa aftenposten mnajijua pande ya tussen takk) lakin cku wakishuka bongo kila mtu anajua ulaya dili....wapiii mtakuja kuingia vyoo vya wakwe