Watanzania, mapenzi ni ya wazungu, nyie utamaduni wenu ni kulazimisha mapenzi

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,513
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada yetu isemayo watanzania Mapenzi ni ya wazungu, nyie mlizoea kulazimisha.

Tokea enzi za mababu zetu wao walikuwa wanalazimisha tu kuoa tu mwanamke Kutoka familia Fulani.

Hii ilikuwa ni pamoja ya Mila za kitanzania ambazo zilikuwa zinamtaka mama au baba amtafutie mwanae wa kiume mke.

Hii ilikuwa ni pamoja na kumlazimisha mtoto wao aoe familia Fulani kwakuwa walikuwa wafugaji, wakulima Bora au wawindaji wanyama nk.

Utararibu huu ulitumika kuangalia pia kama familia Binti kama Ina magonjwa ya kurithi au laana Fulani ilikuwa hawaoi.

Hizo ni baadhi ya Mila ambazo watanzania walizifuata ili kumlazimisha mtoto wao wa kike au wa kiume kuoa au kuolewa.

Sasa balaa linakuja pale ambapo Mzungu anakuja na utamaduni wake wa mwanaume kumuoa Binti anayempenda.

Imeenda mbali mpaka sasa mwanamke anayouwezo wa kuchagua mwanaume ambaye yeye mwenyewe anampenda.

Shida ipo pale ambapo mwanaume wa kitanzania ambaye utamaduni wake wa kulazimisha upo damuni alafu anakuja kuiga utamaduni wa kupenda wa mzungu.

Achana na hayo, njoo kwenye zile Mila ambazo watanzania wamezitelekeza lakini bado zinawatafuna kwa ndoa au mahusiano ya mapenzi.

Mila nyingi zilishafanyika na makafara yakatolewa huko, Sasa wanapokuja kuoana Yale makafara yanaibuka.

Wale wazazi walipokuwa wanalazimisha mwanaume kuoa au mwanamke kuolewa walikuwa washaweka mipaka kuwa Koo hii haioi Wala kuoana.

Ndio maana mahusiano mengi ya mapenzi mpaka ndoa yanaishia njiani maana yanavita kubwa ya mizimu.

Mila na tamaduni za kitanzania ni zaidi ya uchawi, zinafunga mafanikio yote ya ndoa na maisha yenyewe.

Kataa Mila za kitanzania za kichawi...

Chagua njia nyembamba au Nene kazi ni kwako, njia panaa ni Yesu na njia pana ni shetani baba wa uongo.

Donatila
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada yetu isemayo watanzania Mapenzi ni ya wazungu, nyie mlizoea kulazimisha.

Tokea enzi za mababu zetu wao walikuwa wanalazimisha tu kuoa tu mwanamke Kutoka familia Fulani.

Hii ilikuwa ni pamoja ya Mila za kitanzania ambazo zilikuwa zinamtaka mama au baba amtafutie mwanae wa kiume mke.

Hii ilikuwa ni pamoja na kumlazimisha mtoto wao aoe familia Fulani kwakuwa walikuwa wafugaji, wakulima Bora au wawindaji wanyama nk.

Utararibu huu ulitumika kuangalia pia kama familia Binti kama Ina magonjwa ya kurithi au laana Fulani ilikuwa hawaoi.

Hizo ni baadhi ya Mila ambazo watanzania walizifuata ili kumlazimisha mtoto wao wa kike au wa kiume kuoa au kuolewa.

Sasa balaa linakuja pale ambapo Mzungu anakuja na utamaduni wake wa mwanaume kumuoa Binti anayempenda.

Imeenda mbali mpaka sasa mwanamke anayouwezo wa kuchagua mwanaume ambaye yeye mwenyewe anampenda.

Shida ipo pale ambapo mwanaume wa kitanzania ambaye utamaduni wake wa kulazimisha upo damuni alafu anakuja kuiga utamaduni wa kupenda wa mzungu.

Achana na hayo, njoo kwenye zile Mila ambazo watanzania wamezitelekeza lakini bado zinawatafuna kwa ndoa au mahusiano ya mapenzi.

Mila nyingi zilishafanyika na makafara yakatolewa huko, Sasa wanapokuja kuoana Yale makafara yanaibuka.

Wale wazazi walipokuwa wanalazimisha mwanaume kuoa au mwanamke kuolewa walikuwa washaweka mipaka kuwa Koo hii haioi Wala kuoana.

Ndio maana mahusiano mengi ya mapenzi mpaka ndoa yanaishia njiani maana yanavita kubwa ya mizimu.

Mila na tamaduni za kitanzania ni zaidi ya uchawi, zinafunga mafanikio yote ya ndoa na maisha yenyewe.

Kataa Mila za kitanzania za kichawi...

Chagua njia nyembamba au Nene kazi ni kwako, njia panaa ni Yesu na njia pana ni shetani baba wa uongo.



Donatila
This logical fallacy is called argument from tradition.

There are also elements of another logical fallacy, appeal to popularity.

Finally, there is a fair amount of the problem of induction.
 
🤔 unataka kusemaje ?
1703606644652.png
 
Mkuu umetupiga chenga ya gaucho sisi st.kayumba. tufafanulie kwa kiswahili au hata kwa kingereza chepesi kidogo
Mtoa mada amefanya makosa makubwa ya kimantiki katika bandiko lake.

Kosa la kwanza ni kujenga hoja ya kiutamaduni. Tamaduni zinabadilika. Watu wanajiongeza. Hivyo, hata kama kweli Watanzania wana utamaduni fulani, hilo halimaanishi kuwa hawawezi kubadilika. Watu wanabadilika kila siku wakipata elimu mpya, wakitembea na kuona dunia, wakifikiria tu na kukataa tamaduni fulani za zamani.

Kosa la pili ni la kuchukulia mambo kwa hoja ya "wengi wape". Yani kuchukulia kwa sababu kitu kinafanywa na Watanzania wengi, basi hivyo ndivyo Watanzania walivyo na wanapaswa kuwa. Inawezekana jambo linafanywa na Watanzania wengi si kwa sababu wao ni Watanzania, bali kwa sababu wanakula ugali sana. Na jambo kufanywa na wengi hakulifanyi liwe sawa na likubalike, kwa sababu hata mabaya yanaweza kufanywa na wengi.

Pia, kuna kosa la kimantiki la kwenda kimazoea tu. Kwa sababu tumekuwa hivi hapo nyuma, basi tuendelee kuwa hivyo huko mbele? Hatuwezi kubadilika?
 
Hayanaga Mwongozo,,,alafu pia si kila kitu ni Kwa ajili ya kila MTU,,mapenzi yakikushinda Fanya mambo Mengine!!
 
Habari wakuu,

Niende moja kwa moja kwenye mada yetu isemayo watanzania Mapenzi ni ya wazungu, nyie mlizoea kulazimisha.

Tokea enzi za mababu zetu wao walikuwa wanalazimisha tu kuoa tu mwanamke Kutoka familia Fulani.

Hii ilikuwa ni pamoja ya Mila za kitanzania ambazo zilikuwa zinamtaka mama au baba amtafutie mwanae wa kiume mke.

Hii ilikuwa ni pamoja na kumlazimisha mtoto wao aoe familia Fulani kwakuwa walikuwa wafugaji, wakulima Bora au wawindaji wanyama nk.

Utararibu huu ulitumika kuangalia pia kama familia Binti kama Ina magonjwa ya kurithi au laana Fulani ilikuwa hawaoi.

Hizo ni baadhi ya Mila ambazo watanzania walizifuata ili kumlazimisha mtoto wao wa kike au wa kiume kuoa au kuolewa.

Sasa balaa linakuja pale ambapo Mzungu anakuja na utamaduni wake wa mwanaume kumuoa Binti anayempenda.

Imeenda mbali mpaka sasa mwanamke anayouwezo wa kuchagua mwanaume ambaye yeye mwenyewe anampenda.

Shida ipo pale ambapo mwanaume wa kitanzania ambaye utamaduni wake wa kulazimisha upo damuni alafu anakuja kuiga utamaduni wa kupenda wa mzungu.

Achana na hayo, njoo kwenye zile Mila ambazo watanzania wamezitelekeza lakini bado zinawatafuna kwa ndoa au mahusiano ya mapenzi.

Mila nyingi zilishafanyika na makafara yakatolewa huko, Sasa wanapokuja kuoana Yale makafara yanaibuka.

Wale wazazi walipokuwa wanalazimisha mwanaume kuoa au mwanamke kuolewa walikuwa washaweka mipaka kuwa Koo hii haioi Wala kuoana.

Ndio maana mahusiano mengi ya mapenzi mpaka ndoa yanaishia njiani maana yanavita kubwa ya mizimu.

Mila na tamaduni za kitanzania ni zaidi ya uchawi, zinafunga mafanikio yote ya ndoa na maisha yenyewe.

Kataa Mila za kitanzania za kichawi...

Chagua njia nyembamba au Nene kazi ni kwako, njia panaa ni Yesu na njia pana ni shetani baba wa uongo.

Donatila
Pole kwa yaliokukuta
 
Back
Top Bottom