Kuoa si jambo dogo, unatakiwa uwe umejiandaa

Kuoa si jambo dogo, unatakiwa uwe umejiandaa

Kila siku mnayaleta hii ni ya tatu sasa ndani ya wiki moja! mmekosa mada? msiwe wavivu kupitia humu! haya mavitu ya kucopy na kupaste! muwe makini kuyaleta humu, ni bora mada za kuanzisha ww mwenyewe.
 
Kila siku mnayaleta hii ni ya tatu sasa ndani ya wiki moja! mmekosa mada? msiwe wavivu kupitia humu! haya mavitu ya kucopy na kupaste! muwe makini kuyaleta humu, ni bora mada za kuanzisha ww mwenyewe.

Acha tu ya kwanza mtoa mada alichangia kwenye post,ya pili mzizi mkavu akaileta kama uzi na ya tatu huyu jamaaa daaaa kweli GT wa kizazi cha supra nomaaaaaa!
 
sasa ya nn yote hayo kwetu mradi ubani ufuke 500,000.00 ni harusi ya kitajiri sana. ndo maana umaskini haututoki kwa kuendekeza upumbavu usio na mpango then kesho na keshokutwa mnaachana mil 14 si msingi huo mnaanzia maisha. tizama harusi za watu wa nchi zilizoendelea zaidi ya best man na few frnds kwisha. watanzania tujaribu kufunguka macho kama michango ya harusi inawezekana kwa nini tusikae na kuchangia maendeleo kama elimu afya kwa jamii nzima. then baada ya harusi utasikia yaani kutuita kote kule vibia 3. hebu tujaribu kuheshimu hivi visenti mungu alivyotujalia
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Japo siyo jukwaa lake umenifanya nicheke.
 
afadhali za kiislam maandazi na ubwawa tu vinatosha hakuna cha ukumbi wala cha kuvunja kamati ila kuna wageni wanawaiga sana wala nchi.
 
chukua binti, tia mimba ishi naye 1 year, nenda kwao jitambulishe, mahari inakuwa ndogo (keshazaa) kama 500,000 na vidudedude na nini jumla 1,000,000
then nenda church funga ndoa we na mkeo, mmevaa vijisuti na nini total kama 500,00 (utavaa usual coat lako la kazini na mkeo hajali sana luxury coz amezaa so atavaa normal kama 50,000 hivi) hakuna sherehe, hakuna nini, kwani asipofanya sherehe hawi mkeo? siku hiyo chinjieni mwanenu kuku wa kienyeji kuleni kama ndo Christmas afu that day ikifika utakuwa bize na shuguli za hapa na pale kariakoo
total 1600,000 haizidi hapo. its worth ..
 
Hayo ni ma2mizi yacyo ya lazima,mbwembwe 2 hizo mnaweza fanya haruc simple na ikawa nzuri na mkadumu milele..na uka2mia mamillion ya pesa kufanya harusi baada ya six months ndoa ikawa ndoano..
 
14 mil?what?we wataka nife bachela? Best alternativ ni iyo 14m kununulia benzi macho ya panzi,unaipiga ream za alloy,we unapita vyuoni kwa kupata lunch,apo utafuatwa na watoto tena warembo ile mbaya ,sasa apo unachagua mwenyewe tu. Akishaingia getini anadata na self house,hataki tena kwenda kwao,apo kidume umemaliza mchezo..
 
Samahani Hebu rudia tena hyo orodha mkuu! Nilikuwa nawasiliana na mtu mara moja.
 
Hapo utakuwa hujamaliza mchezo,hapo ndio unaanza stage ya kwanza kwenda kujitambulisha kwao Mwanza.ha ha haaaa, ukitaka umalize mchezo mpige mimba kabisa hapo geto.

14 mil?what?we wataka nife bachela? Best alternativ ni iyo 14m kununulia benzi macho ya panzi,unaipiga ream za alloy,we unapita vyuoni kwa kupata lunch,apo utafuatwa na watoto tena warembo ile mbaya ,sasa apo unachagua mwenyewe tu. Akishaingia getini anadata na self house,hataki tena kwenda kwao,apo kidume umemaliza mchezo..
 
26. Naona amesahau stage moja ya mwisho. Ili kupata gharama kamili chukua 14,000,000/= toa zawadi ulizopewa (kiwanja mbezi, mifuko 50 ya cement kutoka kwa bosi wako,mabati bundle tano,ng'ombe wawili wa maziwa,fridge kubwa,sofa set,tv kubwa 29", kabati la nguo, jiko la gesi complete,vyombo vya jikoni,laptop mpya,makanga na mavitenge kwa mkeo,feni mbili,meza ya kioo,cherehani,kitanda 6'x6',godoro la banco,music system,etc..etc...etc...etc...baadae tena kumbe wale jamaa mliwapa bia mojamoja kamati ilibana hela ukagaiwa chako 2,000,000/=)
 
26. Naona amesahau stage moja ya mwisho. Ili kupata gharama kamili chukua 14,000,000/= toa zawadi ulizopewa (kiwanja mbezi, mifuko 50 ya cement kutoka kwa bosi wako,mabati bundle tano,ng'ombe wawili wa maziwa,fridge kubwa,sofa set,tv kubwa 29", kabati la nguo, jiko la gesi complete,vyombo vya jikoni,laptop mpya,makanga na mavitenge kwa mkeo,feni mbili,meza ya kioo,cherehani,kitanda 6'x6',godoro la banco,music system,etc..etc...etc...etc...baadae tena kumbe wale jamaa mliwapa bia mojamoja kamati ilibana hela ukagaiwa chako 2,000,000/=)

Haha haha ARV asante kwa kunikumbusha, kumbe tunatakiwa kutoa zawadi, tatizo linakuja siku hizi watu zawadi wanatoa vikombe vijiko, wamejitahiiidi saaaaaana basi wanakupa oven, nani akupe kiwanja!!!!
 
chukua binti, tia mimba ishi naye 1 year, nenda kwao jitambulishe, mahari inakuwa ndogo (keshazaa) kama 500,000 na vidudedude na nini jumla 1,000,000
then nenda church funga ndoa we na mkeo, mmevaa vijisuti na nini total kama 500,00 (utavaa usual coat lako la kazini na mkeo hajali sana luxury coz amezaa so atavaa normal kama 50,000 hivi) hakuna sherehe, hakuna nini, kwani asipofanya sherehe hawi mkeo? siku hiyo chinjieni mwanenu kuku wa kienyeji kuleni kama ndo Christmas afu that day ikifika utakuwa bize na shuguli za hapa na pale kariakoo
total 1600,000 haizidi hapo. its worth ..

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

I got you ..
 
Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake. Umeongea gharama za kamba yk na nafikir ni sahihi, otherwise ucngeongelea urefu huo. Kwanza bado hajakutambulisha 'rasmi' kwa rafiki zake wa karibu
 
Nunua pete isiyo ya dhahabu 2000, ada ya cheti cha ndoa 5000, sadaka 1000. Nenda church na u r friend as msimamizi. All over.
 
Haha haha ARV asante kwa kunikumbusha, kumbe tunatakiwa kutoa zawadi, tatizo linakuja siku hizi watu zawadi wanatoa vikombe vijiko, wamejitahiiidi saaaaaana basi wanakupa oven, nani akupe kiwanja!!!!

wanakamchezo kabaya! Hasa vijikundi mbalimbali badala ya kubeba zawadi za maana wananunua dinner set kisha wanaifungua na kugawana pices za sahani vikombe nakuomba mziki kwa dj kama waleta gari vile sipendi.
 
Back
Top Bottom