Kuoa si jambo dogo, unatakiwa uwe umejiandaa

Kuoa si jambo dogo, unatakiwa uwe umejiandaa

Alafu familia unayokwenda kuowa MAJANGA wote macho kwako mara huyu mkwe naomb sh ,mara shemej mtoto ada pam..ba.fu zao.

mi nilishamwambia mama na baba mkwe hamna noma. Hao wengine kila mtu azae kulingana na uwezo wake. Labda aniibie!
 
Hiyo nayo njia na inapitika ila wengine moral grounds zetu haziruhusu bora tukae benchi kwanza.

kuna dada aliwahi kuniambia siwezi kuondoka kwetu kimya kimya mpaka watu washangilie. Nikamwambia,kumbe lengo lako ni watu kujua? Sasa hivi ana mimba mtoto wa pili bado hajaolewa.
 
Hizo zote mbwembwe 2 na ni gharama ziczokua na ulazima wowote!ukitaka sifa ili uonekane wa maana kwa wakwe zako umejitakia mwenyewe!waweza fanya harusi simple bt ikamfurahisha kila mmoja wenu!co lazma gharama kubwa hivyo eboh!
 
No wonder zinaa bado zinaendelea kwa sana ndani ya ndoa...

Watu wanaooana,wanaoana kwa kuwa fedha ni kigezo kilichofanywa kikuu katika kutekeleza process nzima ya ndoa.. Yaani alichokiweka mtoa mada kiko based kwenye"lazima kuonyesha hujachoka"..

Nina rafiki yangu ni mwanandoa wa St Joseph nadhani.. Lakini ana vimada wawili... Kati ya vimada hao,mmoja ni mke wa mtu!

Sasa swala lazima tukubali kuwa hatukai kwenye ndoa na kuwa waaminifu kwa sababu tu, hatutaki kuzini na kuvunja kiapo cha ndoa..la hasha..
Tunatakiwa vilevile kuwapenda wenzi wetu,kiasi cha kutoyumbishwa katika uaminifu wetu!

N.B. Nime-cite St Joseph kwa kuwa ndoa kubwakubwa na za gharama mara nyingi hupendwa kufungiwa pale
 
Binafsi nilioa 2005..

Kwa sababu zisizoweza kuzuilika,siishi tena na mke wangu...

Ila kuoa tena...

Itanichukua muda.. Na swala si gharama hapo...
 
Binafsi nilioa 2005..

Kwa sababu zisizoweza kuzuilika,siishi tena na mke wangu...

Ila kuoa tena...

Itanichukua muda.. Na swala si gharama hapo...

Kaka I will be glad if I hear something from you inshort what happen as I am 25 and start to find someone to grow with, graduated 2 years ago and working with one of the big 4 auditing firms, I think its time to start the process to find someone, so your experience mkitupa wakubwa zetu zinatufundisha sana kufanya maamuzi, so funguka bro
 
kuna dada aliwahi kuniambia siwezi kuondoka kwetu kimya kimya mpaka watu washangilie. Nikamwambia,kumbe lengo lako ni watu kujua? Sasa hivi ana mimba mtoto wa pili bado hajaolewa.

Na hilo ndo tatizo la wengi kufikiria sherehe kuliko maisha ya ndoa
 
kuna dada aliwahi kuniambia siwezi kuondoka kwetu kimya kimya mpaka watu washangilie. Nikamwambia,kumbe lengo lako ni watu kujua? Sasa hivi ana mimba mtoto wa pili bado hajaolewa.

Hawa ndio wale wanaotaka 'royal wedding ceremony' matokeo yake anasubiri wa kumfanyia hivyo hapatikani.
Akiambiwa twende bomani hali sio nzuri anasusa.Sasa anabaki kuzaa ovyo kama kuku mitaani.
 
Kaka I will be glad if I hear something from you inshort what happen as I am 25 and start to find someone to grow with, graduated 2 years ago and working with one of the big 4 auditing firms, I think its time to start the process to find someone, so your experience mkitupa wakubwa zetu zinatufundisha sana kufanya maamuzi, so funguka bro

Problem inakuja hapo.. Mume au mke hatafutwi au kuchaguliwa kama sindano au mchele respectively..

Let it come automatically... Atatokea mtu na utashangaa mtapendana mutually,na si acting katika mapenzi..

Watu wanakosea kwa kuact..kadi ya LOVE,zawadi za mara kwa mara,au za thamani sana,unaweza usipate the right person..
 
nitafanya hivyo vyote kama mwanamke ni plot, shamba au Gari angalau nitoe huduma ya usafiri, kilimo cha matunda au nijenge bungalows zinazonizalishia monthly. imagine gharama yote hiyo halafu baada ya siku kadhaa ndo hivo tena.
 
Gharama zote hizo halafu unakuja kusikia kuna jamaa mnasaidiana kummega yule mwanamke,
Na hata siku mbili kabla ya harusi alikua nae!!!
 
hizi mambo za familia bora ka kina liz one n.k
 
kwani umizuiwa kwenda fanya ndoa ya HALAIKI... mnakutana ibadani... halafu kila mtu lwake mnakutana kibandani kwenu..
 
Back
Top Bottom