M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,089
Huyo katunzi naye alishapotea kitambooooPedeshee Muzamiri Katunzi mutu ya Kanyigo.
Huyo katunzi naye alishapotea kitambooooPedeshee Muzamiri Katunzi mutu ya Kanyigo.
Mwabie abomoe ajenge Tena.!!!!?("Wapi kizaizai")("wapi mpakanjia ")(" wapi George Mayenga")
=============
Wanamziki na wasanii mbalimbali hawakuacha kutamka maneno hayo!
Maneno hayo ni majina ya matajili marafiki watatu waliokuwa wanapenda sifa kupindukia!
Katika hao watatu, sijawahi kuona mtu aliyekuwa anapenda sifa kama KIZAIZAI....
Kwanza huyu jamaa miaka yote hakuwahi kumaliza ujenzi Wa nyumba yake zaidi ya kujenga na kubomoa halafu anajenga tena! (Ili Mradi tu aonyeshe anazo)
KIZAIZAI alikuwa akijenga nyumba hadi inakamilika halafu anaibomoa na kujenga tena. (Na Fundi aliyejitia kiherehere cha kumshauri kwamba wasivunje alijibiwa nafanya hivi ili nyinyi mpate kura! Nawalipa Pesa ya kujenga na kubomoa na kujenga tena)
KIZAIZAI Aliwahi kujaribu kubadilisha jina la mtaa mzima uitwe jina lake (KIZAIZAI STREET)
Aliagiza order ya ndoo za rangi toka kiwandani zipakwe kila nyumba mtaa mzima, Kwa madai kwamba mtaa mzima ufanane na hadhi yake kutokana na wageni wanaomtembelea, pia aliweza kupendekeza mtaa mzima upandwe miti mirefu miashoki!
KIZAIZAI hakupenda kukaa na gari aina moja Kwa siku tatu anabadilisha!
KIZAIZAI alikuwa akigawa fedha hususa bandi na wanamziki walipompaisha! Na wale wote walioshangilia walipata fedha!
KIZAIZAI Alipatwa hadi kuimbwa na Diamond katika wimbo wake Wa "kizaizai"
KIZAIZAI sasa kamaliza UJENZI Wa Nyumba yake awamu hii na hataki kubomoa tena!!
View attachment 645110
Siyo kila aliyeko nje ni raia mwema na si kila aliyeko ndani ana hatia...sasa kama unawafahamu wanapiga dili haramu si uende ukatoe taarifa polisi kama raia mwema..
Musofe yuko nje, Ndama yuko nje, Kizaizai yuko nje, Muzamir yuko nje, Jack pemba yuko nje, Masawe yuko nje na wengine weeengi wako nje sasa utatuambiaji wanapiga dili haramu wakati hata mahakama imewaachia huru ndama na Musofe...
Dah!! Kitambo sana na amekuwa low profile kabisaAna mawe vibaya mnooo...ana apartments mbezi beach dola 800 per month..nadhani ameusoma mchezo hataki kuuza sura..ana nyumba kama ikulu mbezi ya chini!
Bado ananyea debe.. Ana kesi ya mauaji nadhanipapa msofe nae yuko wapi? alimtapeli myahudi mmoja dhahabu ya mkwanja wa nguvu. myahudi aliapa anakwenda kwao ila ipo siku atarudi!
Kuna pahala Nimemuona Dr Shika na EbitokeAwamu hii tunae Papaa Shika Mzee wa Minada..,
Son of cow alilipa fine akachomoka.. Hela sio kuzuriKuna yule aliekua anasimamisha hummer lake jeusi pale K/koo nahisi papaa faru dume hivi yupo wap? Na huyu jamaa Ndama mutoto ya Ng'ombe si alikua na ile pesa ya utakatishaji? Vp alichomoa?.
Kama hujui Msoffe alipo, basi wewe ndo wakurudi bush ukalimeMsofe yuko jela ipi? Ndama kufuliaje ?wakulima kwaujuaje bwana .nahao ulowataja naunga wapi nawapi ?
Ndama Mtoto wa Ng'ombe nasikia kawa Ng'ombe sasa.
Duuu ilikua kufruJiji letu linakabiliwa na uhaba wa Mapedejheee!
Zile Supu za Million mbili kwa jioni Moja kwa Wapambe zimeisha
Safi sana, ilikuwa shida mtaani, mwenye hela halali hatesi kihivyo, mifano ipo...
Wako tuli kama maji ya mtungini...
Acha kabisa labda uwe rfk ya bashite mtoto ya pombeKipindi hichi Hakuna pedeshee ukijifanya una hela unafuatiliwa mpaka ziishe
Teh teh teh duh mkuu umeua dah.Ndama Mtoto wa Ng'ombe nasikia kawa Ng'ombe sasa.
Ha ah a a.., Mzee anavyoishi ss utafikiri alikuwa haishi kwenye Stoo huku akishindia Maji kama Nyoka!Kuna pahala Nimemuona Dr Shika na Ebitoke