Hilo nalo nendeni mkalitizameWakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
Acha umbea we mwanaume! Mama yupo bize kulambisha asaliWakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
Jumamosi ni siku ya usafi mzee mwenzangu 😂Wakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
😂Jumamosi ni siku ya usafi mzee mwenzangu
Hilo nalo nendeni mkalitizameUnashangaa! Hata hospitali kunakipindi hakuna wagonjwa.
KWAHIYO MELI ZIKO YARD ZINAFANYIWA USAFI?Jumamosi ni siku ya usafi mzee mwenzangu 😂
Eeh nyingi zimepaki maeneo ya Coco BeachKWAHIYO MELI ZIKOYARD ZINAFANYIWA USAFI?
Picha please, hebu kachungulie pale nyuma ya Ocean road hospital kisha Coco beach kama hazipo? Labda zinasubiria ratibaWakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?
Kuna,timetable ya kutia nanga, nyaraka na kushusha mizigoWakuu, nini kinaendelea Bandarini hapa Dar hakuna Meli, inayopakia wala kupakua. Gati zote ziko wazi!! Nini kinaendelea?