Kuna wazazi wanajua kulea jamani

Kuna wazazi wanajua kulea jamani

Mimi nilitumiwa video yake ya maombi, nikaona yaliyomo yamo. Na zaidi alikiwa akiomba kiupande yaani lote linaonekana itoshe kusema kabeba furushi.
Leejay49 hebu mwambie sumbai Mama Mtumishi atamuonea wapi. Lazima aokoke 😅😅😅😅😅
Raha ya kondoo mkia si unajua,

Furaha ya macho kuona uumbaji wa Mwenyezi Mungu,
 
Mimi nilitumiwa video yake ya maombi, nikaona yaliyomo yamo. Na zaidi alikiwa akiomba kiupande yaani lote linaonekana itoshe kusema kabeba furushi.
Leejay49 hebu mwambie sumbai Mama Mtumishi atamuonea wapi. Lazima aokoke 😅😅😅😅😅
Nimemwambia hapo amtafute tu apate wokovu,.
Kwanza sauti yake tu akisema Shalom Baby girl😍😍
 
Nisanue mkuu ndio nini hio 😀
Internet bila kikomo bei zake hizi hapa
Router za Airtel Vifurushi vya vipo hivi
1. 70K kwa mwezi, speed 10Mbps
2. 110K kwa mwezi, speed 30Mbps
3. 150K kwa mwézi, speed 50Mbps
4. 200K kwa mwezi, speed 100Mbps


Hizi za vodacom
20250423_203034.jpg
 
Internet bila kikomo bei zake hizi hapa
Router za Airtel Vifurushi vya vipo hivi
1. 70K kwa mwezi, speed 10Mbps
2. 110K kwa mwezi, speed 30Mbps
3. 150K kwa mwézi, speed 50Mbps
4. 200K kwa mwezi, speed 100Mbps


Hizi za vodacom
View attachment 3313349
Mkuu tatizo ni kulipia hio 70k, matumizi yangu hayafiki 5GB per month maana kuna free wifi pahala, nikishadownload vitu naweka MB za buku siku 3.
 
Back
Top Bottom