Kuna wazazi wanajua kulea jamani

Kuna wazazi wanajua kulea jamani

Shalom Leejay, Shalom JF..
Huyu mazaa nimeona clip zake jana 2, kwa kibahati, sikuwa namjua kabla.. Nilibarikiwa kinamna yangu.

Visikupite mkuu ndugu yangu.
Certified Hater
Nakazia aliposema Donatila ... Mlee mtoto katika njia impasayo ...... Sijui ni mithali ngapi. Naongezea wazazi sikuhizi mnalipa fees nyingi sana tena kwa furaha, watoto wajifunze violence na ushoga kupitia TV kwenye kitu kinaitwa Subscription za ving'amuzi.
#Kale nilitembea
 
Tunapigwa hapa hizi ministry

kaa nazo makini,

Mchungaji ana slay na wigs kichwani.....
Alinifurahisha how she spoke English na waamini wake,

Ila hizi ministry..... Ote ote
Hizi ministry zimefanyaje mkuu😃
 
Hizi ministry zimefanyaje mkuu😃
Sihukumu vibaya Ila sasa the way alivyo na anavyoongea unajua am a man nafikiria tofauti afu anaonekna ni mashangazi wa haja sura imekaa, tabasamu zito, nyonyo la haja na inaonekana pia msambwanda wa haja anao maake lile nyonyo sio la wenye flat 😂
 
Nakazia aliposema Donatila ... Mlee mtoto katika njia impasayo ...... Sijui ni mithali ngapi .Naongezea wazazi sikuhizi mnalipa fees nyingi sana tena kwa furaha watoto wajifunze violence na ushoga kupitia TV kwenye kitu kinaitwa Subscription za ving'amuzi
. #Kale nilitembea
Ni mithali ya 22, ule msari wa 6 unasemaaa
Unasemaaaa nini?
Umlee mtoto..
Umleee naniiiiii
Haahhaa, ushakutana nayo huko mtandaoni? Nilicheka hadi machozi.

Anyway: tutafute cheti cha kwendea Mbinguni ambacho hakitolewi Kanisani.
 
Hizo ni content na business model, kamwe hai reflect reality.
Usiamini kitu cha kusikia bila kukiona, nothing is real kwa dunia ya sasa.
 
Sihukumu vibaya Ila sasa the way alivyo na anavyoongea unajua am a man nafikiria tofauti afu anaonekna ni mashangazi wa haja sura imekaa, tabasamu zito, nyonyo la haja na inaonekana pia msambwanda wa haja anao maake lile nyonyo sio la wenye flat 😂
Ila nyie vijana moto wenu utakua mkali sana naona😃😃😆😆
 
Kweli
Me nilipenda uwezo wa kujielezea wale watoto, kujiamini.. wanaongea vzuri, sio unakuta mtu anaongea kama anapayuka muda wote
Yani mno mkuu pia najivunia sana kabinti kangu .
 
😀😀 uhalisia siujui.. ila vinavutia bwana
Ulifurahia ulipoona? Ulipata mawazo yapi kwa uharaka?

Honestly inavutia na kutia moyo Ila binafsi siwezi enda hapo labda nimwangalie tuu kama Leo basi, 😂 😂

Tatizo la ministry nyingi watu wanapangwa tofaut na uhalisia so inabidi uwe makini sana

Hata hao wanaosema mwamposa sijui ana upako, fatilia mostly ya watoa ushuhuda ni wamepangwa

Kingine tujifunze kujiombea wenyewe, kufunga, vyakula ni vitamu lkn tujinyime ili tupate wasaa wa kufikiria juu ya maombi, maono, na mafungo yetu, tutoe sadaka hasa charity, naamini Mungu ni mwaminifu kwa ahadi zake sio km mwanadamu,

Daudi akasema nilikuwa kijana na sasa ni mzee sijawahi ona mwenye haki ameachwa wala watoto wake kuomba omba mikate barabarani, Tuende kwenye haki kwenye kila jambo na watu wote.
 
Back
Top Bottom