Honestly inavutia na kutia moyo Ila binafsi siwezi enda hapo labda nimwangalie tuu kama Leo basi, 😂 😂
Tatizo la ministry nyingi watu wanapangwa tofaut na uhalisia so inabidi uwe makini sana
Hata hao wanaosema mwamposa sijui ana upako, fatilia mostly ya watoa ushuhuda ni wamepangwa
Kingine tujifunze kujiombea wenyewe, kufunga, vyakula ni vitamu lkn tujinyime ili tupate wasaa wa kufikiria juu ya maombi, maono, na mafungo yetu, tutoe sadaka hasa charity, naamini Mungu ni mwaminifu kwa ahadi zake sio km mwanadamu,
Daudi akasema nilikuwa kijana na sasa ni mzee sijawahi ona mwenye haki ameachwa wala watoto wake kuomba omba mikate barabarani, Tuende kwenye haki kwenye kila jambo na watu wote.