UsijaliOops,. Nitafanya namna unitumie hata kaforo niwekage dp
Watu wamesahau malezi ya watoto wao, TV, simu na mitandao, vinawasaidia kuwalea hovyo na kuharibikiwa. Bila kusahau wadada wa kazi, watoto wakitoka shule, mtu wa karibu ni dada wa kazi, sasa ukute naye kichwa kimepata moto, utajua hujui.
By the way Mama Mchungaji ana tacle la kwenda.🙌🙌🙌😜
Mtani hapo mwisho niambie ni niniWatu wamesahau malezi ya watoto wao, TV, simu na mitandao, vinawasaidia kuwalea hovyo na kuharibikiwa. Bila kusahau wadada wa kazi, watoto wakitoka shule, mtu wa karibu ni dada wa kazi, sasa ukute naye kichwa kimepata moto, utajua hujui.
By the way Mama Mchungaji ana tacle la kwenda.🙌🙌🙌😜
Yeah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kweli yaanYaani huyu baba inabidi akalishwe kwanza kikao atuambie anawapataga wapi harakaharaka hivi
Yeah ni kweli,.Watu wamesahau malezi ya watoto wao, TV, simu na mitandao, vinawasaidia kuwalea hovyo na kuharibikiwa. Bila kusahau wadada wa kazi, watoto wakitoka shule, mtu wa karibu ni dada wa kazi, sasa ukute naye kichwa kimepata moto, utajua hujui.
By the way Mama Mchungaji ana tacle la kwenda.🙌🙌🙌😜
Ukimuweka humu kuna maharamia hawakawiii kukuharibia mkuuBinti yangu mwenyewe yupo very smart na hauwezi mwambia kitu kuhusu baba yake., ipo siku nitamweka humu ka video kake acha rasta zake zikue kwanza kama za baba yake 🤣🤣
Anapatikana mtandao gani nimtembeleee nione yaliyomo yamoWatu wamesahau malezi ya watoto wao, TV, simu na mitandao, vinawasaidia kuwalea hovyo na kuharibikiwa. Bila kusahau wadada wa kazi, watoto wakitoka shule, mtu wa karibu ni dada wa kazi, sasa ukute naye kichwa kimepata moto, utajua hujui.
By the way Mama Mchungaji ana tacle la kwenda.🙌🙌🙌😜