Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Inashangaza sana. Sijajua ni njaa, stress, hulka, muwasho wa ngozi, mikono au nini.
Watu ni wagomvi balaaaaaah... Yaani anaweza hata kununua ugomvi wa mtu akaingilia akauchukua yeye. Sijui shida ni nini.... Sisi wengine ndo tumekuwa punching bags zao.
Sababu ya upole huu unakuta umekaa tu mtu anakuja anataka umpakate. Unashangaa whyyyyyyy? Kwa nini? Unashangaaaa kinyama yaani.
Jambo hili si zuri ndugu zanguni sisi wengine kung fu, tae kwan ndo, karate zimelala hapa. Basi tu hatutaki kujionesha kwa watu. Ila tukiamua kukichafua humu JF hatobaki mtu na mademu wenu tunachukua maana kiuchumi tupo poa pia. Ndo maana mnakuja lia lia humu na wengine mnaachwa.
Watu ni wagomvi balaaaaaah... Yaani anaweza hata kununua ugomvi wa mtu akaingilia akauchukua yeye. Sijui shida ni nini.... Sisi wengine ndo tumekuwa punching bags zao.
Sababu ya upole huu unakuta umekaa tu mtu anakuja anataka umpakate. Unashangaa whyyyyyyy? Kwa nini? Unashangaaaa kinyama yaani.
Jambo hili si zuri ndugu zanguni sisi wengine kung fu, tae kwan ndo, karate zimelala hapa. Basi tu hatutaki kujionesha kwa watu. Ila tukiamua kukichafua humu JF hatobaki mtu na mademu wenu tunachukua maana kiuchumi tupo poa pia. Ndo maana mnakuja lia lia humu na wengine mnaachwa.