Yebo Yebo,Jasusi
Badala ya kusema tusiweke conclusions za kuwa huyo ni Mtazania. Hebu tupe japo idea zako kidogo kwa nini huyu jamaa amevaa bendera yetu???
Wengi hapa tupo open minded, ila tuna hamu sana ya kupata vielelezo vyenye mashiko.
Maandishi yana nafasi ndogo sana kulinganisha na picha.
Hiyo patch nilikuwa sijaiona. I take it back.