Kuna wanajeshi Watanzania Iraq?

This is news to me!!!

Nimejaribu ku-search for details about our military uniform na nimegundua kwa kawaida sisi hatutumii flag patch na iwapo tungetumia flag patch ingefanan hivi kutokana na toleo ya Equestrade group ambayo ina toa huduma ya military acessories
flag_tanzania_gb_large.jpg


lk


....flag patch iliyotumika kwenye picha ya yahoo news..pia hutumika kwa askari wetu ..hasa wanaposave kwenye majeshi ya UN au AU..kwa sababu camoufledge print inatofautiana..askari hutambuliwa kwa badge ya bendera ya nchi aliyotokea....ni wazi huyu kijana atakuwa mtanzania......kuna askari wetu wengi huenda nje kama makubaliano baina ya wakuu wa nchi...ie congo kuna vijana wetu ..bila taratibu rasmi....

NAFIKIRI UCHUNGUZI UNATAKIWA ZAIDI........HII PICHA INABIDI IWEKWE KWENYE MAGAZETI YETU..........
 
kwa Mtaji Huu Ufisadi Wa Kikwete Umezidi........yaani Wamefikia ..kukodisha Askari Wetu Iraq..bila Ridhaa Yetu ..wakati Wanajua Magaidi Wakijua Tupo Huko Watajenga Uhasama Na Kuanza Kupanga Kutulipua?????......kila Chi Inayoingia Pale Inachukua Tahadhari Zoote....sasa Serikali Inakodisha Askari Wanapata Pesa ....na Bado Wanashindwa Kuwalipia Askari Nauli?
 
Katika swali la msingi ndani yake kuna swali jingine ambalo naamini linapaswa kuulizwa na ambalo laweza kutoa jibu:

a. Je kuna mwanajeshi yeyote wa Marekani mwenye asili ya Tanzania anayepigana Iraq? Jibu la swali hilo kwa kadiri ninavyojua ni ndiyo. Wapo vijana wachache wa Kitanzania waliojiunga na jeshi la Marekani na sasa hivi/wamewahi kupigana Iraq. Hawa sasa hivi ni Wamarekani au wako mbioni kuupata uraia wa huku (Kumbuka kujiunga na jeshi la Marekani siyo lazima uwe raia, unahitaji kuwa na Permanent Residence). Je yawezekana huyo ni mmoja wao?

b. Je kuna askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ambaye anashiriki mapigano Iraq chini ya Jeshi la Marekani au pamoja na Jeshi la Marekani? Nina majibu mawili. Inawezekana, chini ya mamlaka ya Kikatiba ya Rais ambayo tumempa nguvu ya kumuamuru mwanajeshi yeyote kutekeleza majukumu fulani ndani au nje ya nchi. Katika nguvu hiyo ya Kikatiba Rais halazimishwi kulijulisha Bunge deployments ya troops wetu.

Jibu la pini ni hapana kwani kwa kadiri ninavyofahamu Tanzania haina mkataba wa kusaidiana vitani kijeshi na Marekani. Kama mkataba huo upo ni lazima Bunge lingepaswa kujua. Kwa vile Dr. Slaa yuko kwenye mtandao anaweza kuuliza swali hili siku ya Alhamisi kwa Waziri Mkuu.
Point noted.Tutajitahidi kupata ukweli kadiri inavyowezekana kesho kupitia kipindi cha Waziri Mkuu. Au kwa njia nyingine za kibunge pia. We shall keep you posted.
 
Point noted.Tutajitahidi kupata ukweli kadiri inavyowezekana kesho kupitia kipindi cha Waziri Mkuu. Au kwa njia nyingine za kibunge pia. We shall keep you posted.

..SAFI MUHESHIMIWA ..CHUKUA NA LINK YA HII PICHA YAHOO...ILI IKIBIDI UMPE PM...WASIJESEMA NI PROPAGANDA....we need know..kwanza hali zao,idadi, ni shilingi au dola ngapi za kimarekani tunapata....na kama msajili wa hazina amepokea hizo pesa....kuna vijana wangapi...wao binafsi wanafaidika vipi...kwa nini wamepelekwa kimya kimya uikizingatia hali tata ya usalama ...na impact ya kushirikiana na marekani kwenye operation za aina hii ....extremist terrorists...
 
Back
Top Bottom