A
Anonymous
Guest
Asee kuna hili jambo linanikera sana na lina Waharibia Wanafunzi future yao.
Nikiwa Mdau muhimu wa Elimu naumia sana kuona Waalimu wa kiume kukatisha ndoto za mabinti kwa kukuanzisha uhusiano nao na kisha kuwapa ujauzito na wengine ndoto zao kuisha kabisa.
Wapo Wanafunzi kadhaa walifaulu kwenda kidato cha tano na chuo ila wameshindwa kuendelea kisa Waalimu wamewapatia ujauzito.
Waalimu wakike wamepaza sauti sana ila imekuwa kama nyimbo tu sasa, mbaya zaidi jamii inashindwa kuwashtaki wakihofia vijana wao kukosa matunzo.
Wapo Waalimu Watatu wa kiume kazi yao kubwa ni hiyo katika Shule ya Sekondari ambayo ipo Kata ya Kivinje, Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi
Kuweka rekodi sawa, aliwahi kupita Godfrey Zambi alipokuwa Mkuu wa Mkoa, akasema miongoni mwa hao Waalimu watolewe ila hawakutolewa baada ya yeye kuondoka.
Hilo limekuwa tatizo na ajira imekuwa kama kuwatia jeuri kwao, naomba jamii isaidie kupaza sauti, Watoto hawa huwenda wakanusurika na kinachoendelea.
Hakika jambo linaumiza ingawa wanasema Watoto wa Kusini hawapendi shule ila Waalimu nasi tunachangia Wanafunzi hao kutokupenda shule na kuzima ndoto zao.
Nikiwa Mdau muhimu wa Elimu naumia sana kuona Waalimu wa kiume kukatisha ndoto za mabinti kwa kukuanzisha uhusiano nao na kisha kuwapa ujauzito na wengine ndoto zao kuisha kabisa.
Wapo Wanafunzi kadhaa walifaulu kwenda kidato cha tano na chuo ila wameshindwa kuendelea kisa Waalimu wamewapatia ujauzito.
Waalimu wakike wamepaza sauti sana ila imekuwa kama nyimbo tu sasa, mbaya zaidi jamii inashindwa kuwashtaki wakihofia vijana wao kukosa matunzo.
Wapo Waalimu Watatu wa kiume kazi yao kubwa ni hiyo katika Shule ya Sekondari ambayo ipo Kata ya Kivinje, Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi
Kuweka rekodi sawa, aliwahi kupita Godfrey Zambi alipokuwa Mkuu wa Mkoa, akasema miongoni mwa hao Waalimu watolewe ila hawakutolewa baada ya yeye kuondoka.
Hilo limekuwa tatizo na ajira imekuwa kama kuwatia jeuri kwao, naomba jamii isaidie kupaza sauti, Watoto hawa huwenda wakanusurika na kinachoendelea.
Hakika jambo linaumiza ingawa wanasema Watoto wa Kusini hawapendi shule ila Waalimu nasi tunachangia Wanafunzi hao kutokupenda shule na kuzima ndoto zao.