Kuna vitu vinakera: Viatu vina matope

Kuna vitu vinakera: Viatu vina matope

haya sema gari ndo hadhi yake sidhani kama ingekuwa na wazfa huyo dada angeingia hivyo. hako katakuwa ka Paso kanatumika kama ka workshop au small kwichikwichi house.
 
Hilo tope la kuwekwa,hiwezekani hicho kiatu kinyanyuke na tope lote hilo.
 
sasa anachokwepa ni kipi hapo?? hilo kapeti linazuia hayo matope vizuri tu mbona,?
Tunatofautiana mkuu, mimi siwezi tembea na matope hivo hata kama natembea kwa miguu lazima niipunguze kama sio kuifuta kabisa
 
Wakati wa masika ni mambo ya kawaida sana hayo. Labda kama tu hutaki kuwapa watu lifti.
 
Back
Top Bottom