Bubu Msemaovyo
Platinum Member
- May 9, 2007
- 4,189
- 3,550
Mbona hizo ni kwato siyo viatu?Hela ni kitu cha ajabu sana Mfalme wa Saudi Arabia kaingia msikitini katinga viatu kama kawaida. Vijana tafuteni hela ona hiyo.
Hata kama ni muda kwani hapo amevua viatu hapo. Au wewe ni short sighted.?Habari ya muda hii, ulikua jela mkuu?
Angalia vizuri ndugu. Hapo wanafanya nini wenzie. Usitetee jambo usilolijua.Hapi kwake, msikitini hakuna viti.
Tatizo liko wapi, labda msikiti mchafu?Angalia vizuri ndugu. Hapo wanafanya nini wenzie. Usitetee jambo usilolijua.