Utaanzaje kumwambia,au unakuta mwingine mchafu mchafu hajui tuu roho inavyouma anavyochafua siti haha alooooUmeonaeeee! Sababu kuna mwingine hawezi kukwambia ila ndio kama kina mleta uzi amebaki kusema "kuna vitu vinakera" na sidhani hata kama amewambia huyo dada kama alichofanya sio poa.
Chukua namba kbs mtoto analipa huyo basi tu maisha yamemfanya akanyage topeMkuu ni lift tuu ila anakufanya uingie car wash bila kutarajia
Hahahaaaa. Aiseeeeee.Yaan wanadhan magar yanajiosha yenyewe,
Gari kama yake si anapambana na hali yakeMkuu hilo tope unaona ni sawa?
Hahahaaa! Unampakiza hiyo basi tu. lolUtaanzaje kumwambia,au unakuta mwingine mchafu mchafu hajui tuu roho inavyouma anavyochafua siti haha aloooo
Njoo nikupe lift kwenye baiskeli yangu hapa ya swala....tehteehhNdio maana sipendagi lifti. Najiepusha na kuwakera watu kama hivyo