Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Huyo mtu hakuhoji mapato au matumizi ya ruzuku!!! Aliacha njia iliyo sahihi akaja kupost kwenye mitandao ya kijamii!!! Huko ndo kuhoji kwa njia sahihi!!!? Msaliti tu. Hana lolote!!!? Wangekuwa Chama Cha Masogange (CCM) wangemuacha aharibu chama!!
 
Huyo mtu hakuhoji mapato au matumizi ya ruzuku!!! Aliacha njia iliyo sahihi akaja kupost kwenye mitandao ya kijamii!!! Huko ndo kuhoji kwa njia sahihi!!!? Msaliti tu. Hana lolote!!!? Wangekuwa Chama Cha Masogange (CCM) wangemuacha aharibu chama!!

Ha ha ha ha haaaaaaaa,chama cha masogange
 
Thats non of your business utafanyika pale wanaChademba watakapoamua na sio maelekezo toka Lumumba.

Na hata kama ukifanyika kesho Mbowe mwiba wenu lazima awe Mwenyekiti.

Tupo makini na focused zaidi ya mnavyodhani.

Mkuu Feedback Nashukuru sana kwa majibu mujarabu...

Lumumba wanapaswa kufahamu kwamba hawana njia yoyote abadani ya kumzuia Freeman Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Chadema angalau kwa miaka mitano Ijayo.!

Na kwa Taarifa mbaya tu kwenu Lumumba baada ya miaka mitano Ijayo endapo kama Mbowe hatagombea tena Uenyekiti kuna Tundu Antipas Lissu ambaye ana vigezo vyote vya kuweza kumrithi!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Feedback Nashukuru sana kwa majibu mujarabu...

Lumumba wanapaswa kufahamu kwamba hawana njia yoyote abadani ya kumzuia Freeman Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Chadema angalau kwa miaka mitano Ijayo.!

Na kwa Taarifa mbaya tu kwenu Lumumba baada ya miaka mitano Ijayo endapo kama Mbowe hatagombea tena Uenyekiti kuna Tundu Antipas Lissu ambaye ana vigezo vyote vya kuweza kumrithi!

Utawaua kwa Presha mkuu....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: mmh
Utawaua kwa Presha mkuu....

Ha Ha Haaa!!!

Mkuu Nitaendelea kuwakumbusha kwamba sifa kuu ya mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Chadema ni lazima awe ni yule anayepigwa vita na Lumumba!
 
Ha Ha Haaa!!!

Mkuu Nitaendelea kuwakumbusha kwamba sifa kuu ya mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Chadema ni lazima awe ni yule anayepigwa vita na Lumumba!

Eti wanataka kutuwekea makuwadi.Nitawapinga kwa nguvu zote hadi tone la Mwisho.Mark my words.
 
CDM ni mwiba mkali sana kwa CCM! Kila mbinu zinatumika ili kuisambaratisha CDM kama Ukanda, ukabila, Udini, Ugaidi, Ufisadi, mabomu na B7 Lumumba Project! Tayari mbinu hizi zimeshagota na zimeshindikana vibaya sana, kwani CDM ndio kwanza inashamiri!! Sasa wanapiga mayowe ya kutaka Demokrasia ndani ya CDM. Mbinu hii nayo itashindikana pia!!
 
Selungo kwani ukilaza wangu na wako upi una unafuu kidogo?
Acha ukulaza wewe!

Hakuna nchi inayo toa uraia wa nchi mbili kama nchi unayo toka haina sheria ya kuruhusu uraia wa nchi mbili. Uta upata uraia wa nchi hiyo pale tu utakapo ukana uraia wa nchi unayo toka (asili yako). Na hapa lazima usalimishe Passpoti yako.

Vinginevyo unaandika kitu usicho kujua na zaidi ni muendelezo wa Lumumba Project!!!

Tatizo la waTanzania mnashindwa kutofautisha uraia na ukaaji wa kudumu.
 
Last edited by a moderator:
''Uroho wa Madaraka''......................................................
 
''Uroho wa Madaraka''......................................................

kama ilivyojidhihirisha kwa mwenyekiti wa magamba-taifa, kung'ang'ania vyeo ndani ya chama na serikali huku baadhi ya wajumbe nec-gambaz wakionyeshwa kutoridhika nalo na mpaka ikapelekea zipigwe kura za wazi kutoka kila mkoa ili ajulikane asiyetaka bwana mkubwa kuendelea na wadhifa wake ndani ya chama.
huu ulikuwa ni ulafi wa madaraka lakini si uroho eti!!

gambaziiii bhana, akili zote makalioni
 
Back
Top Bottom