Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

chiaguzi za ngazi tofauti katika chama zapaswa kufanyika,sanduku la kula litaamua nani anahitajika katika ngazi mbalimbali chamani,haiwekani mtu anashikilia nafasi miaka 10 no uchaguzi hii sio democrasia,chama cha siasa ni chama cha watu na sio cha ukoo au familia furani,ukifanyika uchaguzi hao wanaotwa wasaliti watatoweka.

Mkuu nadhani hayo ni maoni yako lakini kuongoza upinzania ni tofauti na kuwa IKULU ....Nadani kama watu wanaimani na mtu hata Miaka Ishirini ni kidogo haitoshi....alimradi wanachama wana Imani naye na mhusika ana uwezo wa kusimamia na kuendeleza malengo na sera za chama.
 
chiaguzi za ngazi tofauti katika chama zapaswa kufanyika,sanduku la kula litaamua nani anahitajika katika ngazi mbalimbali chamani,haiwekani mtu anashikilia nafasi miaka 10 no uchaguzi hii sio democrasia,chama cha siasa ni chama cha watu na sio cha ukoo au familia furani,ukifanyika uchaguzi hao wanaotwa wasaliti watatoweka.
Mjinga anapojua ujinga wake tayari anakuwa sio mjinga tena!!!Ninyi magamba mnaojidai kutoa ushauri kwa CDM jitahidini kwanza kujua CDM ni nini na inasimamia vitu gani kabla ya kuleta upuuzi wenu JF. Tumewaambia mara kadhaa kuwa uchaguzi uliomuweka madarakani F.I.Mbowe(KAMANDA WA ANGA) Ulifanyika mwaka 2009 na hadi sasa haijatimia miaka mitano kama ambavyo katiba ya CDM inavyo tamka.

Sasa basi kwa kuwa wahuni wengi wanajificha nyuma ya hoja ya uchaguzi ndani ya chama, huku wakifanya kazi ya CCM (kuizoofisha CDM) sasa natoa pendekezo kwa mwenyekiti kupitia Kamati kuu atumie ibara ya 6.3.3(a) kusogeza mbele tarehe ya uchaguzi kwa muda usiozidi mwaka mmoja; ili tumalize kwanza kazi ya ya Kusafisha chama chetu kwa kuondoa magugu maji.

 
Hata kiswahili hujui angalia ulichoandika..cha ajabu kipi mbona nyerere alikaa madakani miaka 26..mbowe azidi kuwepo ili azidi kuwakimbiza ccm..sisi kiroho safi aendelee tu..mpaka kieleweke ,huwezi mpa mtu legelege km hao waliokutama ulete huo ushuziiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
CHADEMA Kuitoa CCM madarakani ni ndoto chini ya huyu mtu.Hapendi kabisa kukosolewa au kuulizwa jambo lolote linalohusiana na fedha au uvunjaji wa kanuni na katiba ya Chama.CHADEMA nilitaka sana uchukue utawala wa hii Nchi lakini naona hilo halitawezekana tena.I will have to think of my political position again,I will become an Independent I guess.
maneno ya mkosaji Cdm ushindi lazima
 
kama ilivyojidhihirisha kwa mwenyekiti wa magamba-taifa, kung'ang'ania vyeo ndani ya chama na serikali huku baadhi ya wajumbe nec-gambaz wakionyeshwa kutoridhika nalo na mpaka ikapelekea zipigwe kura za wazi kutoka kila mkoa ili ajulikane asiyetaka bwana mkubwa kuendelea na wadhifa wake ndani ya chama.
huu ulikuwa ni ulafi wa madaraka lakini si uroho eti!!

gambaziiii bhana, akili zote makalioni

Sijajua mantiki ya ulichomalizia hapo chini, sidhani kama ni sahihi kwa mtu mstaarabu kutumia hayo maneno, kama unadhani mimi nipo hapa kushabikia chama umekosea sana, waulize wenzako kama thread zangu huwa zinajengeka kwenye ushabiki wa chama chochote cha siasa hapa jukwaani.

Ni mtu asiye na akili ndiye anayeweza kutoa kauli hizi. Nadhani unapaswa kujifunza kuwa mstaarabu.

Sidhani hata kama unaelewa manufaa ya majukwaa kama haya katika majadiliano ya hoja.

Haya baki na matusi yako uone kama yatakusaidia katika maisha. Ni ujinga kutaka kila mtu awe na mawazo yako. Jifunze ustaarabu katika public forums kama hizi. Unashindwa kutoa hoja mpaka uweke matusi?!
 
Tumetoka mbali sana, kufika hapa tulipofika hakuna mwanachadema wa ukweli anaeona kazi nzuri iliyofanywa na uongozi uliopo alafu akataka waondolewe, na pia si busara unapoona unafanikiwa alafu yule aliyemsaada kwa mafanikio mliyopata ukataka aondoke wakati bado kuna dhoruba nyingi ni vyema nahodha aliyehodari abaki kuwa nahodha kuliko kufanya majaribio.
Tuko na wewe kamanda, tunajua wabaya wetu wanatamani akae mtu mwingine hapo ili wakiharibu chama hilo hatutaliruhusu kwani tunajua, ma ccm wanajua hununuliki na wala huna bei ila wako wanao nunulika na tunawafahamu wanaota wakifikiri wanaweza kuwa mwenyekiti wa chadema wakati ni wachumia tumbo
 
kama masalia bado wapo wasafishwe mara moja kabla ya kusambaza virusi hatari na kukidhoofisha chama
 
kama masalia bado wapo wasafishwe mara moja kabla ya kusambaza virusi hatari na kukidhoofisha chama

Watasafishwa mkuu bila kuogopa au kumuonea mtu.

Nadhani umeona kilicholipata hilo Salia la Arusha a.k.a Mwigamba
 
Hiki chama bado kichanga sana viongozi wake wanahuroo wamadaraka tena madaraka madunchuu
Ukweli utabaki peupe, 2015 mjitahidi tuu kuongeza majimbo yaushindi..Uraisi ni kwa CCM # 1
 
kwa sababu kila kitu tunakifikiria kiushabiki,,, hata kauli hii a ha ishabikiwe.
ila mimi naona tofauti nisimamapo nje ya mashabiki na nikionacho kinaweza kikajibiwa na matusi toka kwa wadau.
naona anguko kuu, naona kujiamini kulikopitiliza,naona utayari wa kukiangamiza chama kwa kuwapiga vita kina fulani,naona utengano ulio wazi kwa misingi ya ukabila,naona kuna kabila lisilofanya makosa ndani ya chama,naona USALITI kutumika kama nyenzo ya kuwatenga wasioendekeza uchaga,naona dhana ya usaliti kutoeleweka miongoni mwa wafuasi wa chama, naona kutangazwa kwa watakatifu(wasiokosea,wasiostahili kuhojiwa) ndani ya chama na yule anayejaribu kufanya hivyo akitangazwa msaliti,
you still have a very long way to be a political part with national image. mwenyekiti wenu wa Arusha mliyemsimamisha na kumtangaza MSALITI ni pigo kwenu na inathibitisha kuwa yule asiye mchaga wala asiyetaka kuwasujudu wachaga na bado akawa na uwezo kuliko wachaga anatangazwa msaliti.
CHACHA WANGWE,ZZK,J. SHOZA, M.MWAMPAMBA na huyu mwenyekiti wa arusha.
poleni wachaga n puppets because you proving the ancient proverb that"THIS COUTRY IS SO HOLLY TO BE LEFT TO DOGS"
The dogs are known and they will be crashed
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amesema chama hicho hivi sasa kinakumbana na viongozi wasaliti wasiojua wajibu wao wa kulikomboa Taifa.

Akihutubia kongamano la wadau na viongozi wa Kanda ya Kaskazini kiongozi huyo amesema sababu kubwa ya usaliti huo ni uroho wa madaraka kwa baadhi ya watu.

Mwenyekiti huyo anayeongoza chama kikuu cha upinzani nchini amesema kwa sasa chama hicho hakitavumilia viongozi wasaliti na badala yake watakuwa wanaelezana ukweli na kuchukua hatua stahiki kila inapobidi.

Kauli hii ya Mbowe itakuwa msumari wa moto kwa baadhi ya viongozi wanafiki na wanaotumika kutaka kuvuruga chama hicho.

Mbowe ni kiongozi ambaye anaungwa mkono na idadi kubwa ya wafuasi wa CHADEMA kote nchini kutokana na kazi kubwa anayofanya kuimarisha chama hicho kiasi ambacho Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akiwahutubia watendaji wa CCM hapo jana amehofia chama chake kuondolewa madarakani kupitia sanduku la kura mwaka 2015.

Source:ITV Habari
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ili Uweze kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
 
kwa sababu kila kitu tunakifikiria kiushabiki,,, hata kauli hii a ha ishabikiwe.
ila mimi naona tofauti nisimamapo nje ya mashabiki na nikionacho kinaweza kikajibiwa na matusi toka kwa wadau.
naona anguko kuu, naona kujiamini kulikopitiliza,naona utayari wa kukiangamiza chama kwa kuwapiga vita kina fulani,naona utengano ulio wazi kwa misingi ya ukabila,naona kuna kabila lisilofanya makosa ndani ya chama,naona USALITI kutumika kama nyenzo ya kuwatenga wasioendekeza uchaga,naona dhana ya usaliti kutoeleweka miongoni mwa wafuasi wa chama, naona kutangazwa kwa watakatifu(wasiokosea,wasiostahili kuhojiwa) ndani ya chama na yule anayejaribu kufanya hivyo akitangazwa msaliti,
you still have a very long way to be a political part with national image. mwenyekiti wenu wa Arusha mliyemsimamisha na kumtangaza MSALITI ni pigo kwenu na inathibitisha kuwa yule asiye mchaga wala asiyetaka kuwasujudu wachaga na bado akawa na uwezo kuliko wachaga anatangazwa msaliti.
CHACHA WANGWE,ZZK,J. SHOZA, M.MWAMPAMBA na huyu mwenyekiti wa arusha.
poleni wachaga n puppets because you proving the ancient proverb that"THIS COUTRY IS SO HOLLY TO BE LEFT TO DOGS"
The dogs are known and they will be crashed

Aliwezaje kuwa mwenyekiti wa chama kanda ya kaskazini basi?
 
Back
Top Bottom