mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 461
Habari watalamu.... Mm naomba ufahamu ktk hili ,hivi mbegu za kiume hata tone zinafaa kumpa mimba mwanamke? Au nikiasi gani Cha mbegu kinatosha kubebesha mimba, je Ni mbegu zile za kwanza au hata zinazokuja nyuma baabada ya zile za kwanza kufyatuka hizi za nwisho mwisho zinazoishirizia ukiingiza uume ndani ya uke zinaweza kumpa mimba mwanamke.
Msaada tafadhali.
Msaada tafadhali.