Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Maridhiano yameshindikana juu ya tafsiri sahihi ya dhana ya upungufu wa nguvu za kiume.
1. Wengine husema upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kuwa na mbegu kidogo kwamba hawezi kuzitoa zaidi ya mara moja katika tendo moja la ndoa.
2. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kushindwa kurudia tendo la ndoa kufuatia uume kusinyaa baada ya mshindo wa kwanza kukamilika.
3. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kuchelewa kufika kileleni.
4. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kuwahi kufika kileleni.
5. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume mwenye siha kushindwa kutunga mimba kwa mwanamke.
6. Je, Towashi hana nguvu za kiume?
Ipi ni tafsiri sahihi kati ya hizo 6?
Sintojuwa hii imetoa mwanya kwa kila mtu kuja na tafsiri yake huku waganga wa kienyeji na wa kisayansi kutumia mwanya huu kuvuna ela.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
1. Wengine husema upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kuwa na mbegu kidogo kwamba hawezi kuzitoa zaidi ya mara moja katika tendo moja la ndoa.
2. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kushindwa kurudia tendo la ndoa kufuatia uume kusinyaa baada ya mshindo wa kwanza kukamilika.
3. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kuchelewa kufika kileleni.
4. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume kuwahi kufika kileleni.
5. Wengine wanaamini upungufu wa nguvu za kiume humaanisha mwanaume mwenye siha kushindwa kutunga mimba kwa mwanamke.
6. Je, Towashi hana nguvu za kiume?
Ipi ni tafsiri sahihi kati ya hizo 6?
Sintojuwa hii imetoa mwanya kwa kila mtu kuja na tafsiri yake huku waganga wa kienyeji na wa kisayansi kutumia mwanya huu kuvuna ela.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app