Kuna uhusiano gani kati ya watu wafupi na mikoa yenye baridi?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,050
10,490
Mimi Kwetu ni kusini huko kwenye baridi ni kama nilinusurika kuwa mfupi na yote sababu mama yangu alihama nikajikuta nimezaliwa na kukulia kwenye mkoa wenye Joto nikawa mrefu.

Nimekuwa nikifanya research kuhusiana na watu wafupi na mazingira walipotokea nimenotice mikoa yenye baridi hususani nyanda za juu kusini inaongoza kwa kutoa watu wafupi.

Swali langu kwa wataalamu wa mambo ya genetics je kuna uhusiano gani kati ya baridi na ufupi??
 
Sasa umekuwa ukifanya research alafu mwisho wa siku una tuuliza sisi maswali.
Sisi ndiyo tuli paswa kukuuliza wewe maswali after kufanya research yako maana umesha sema umekuwa ukifanya research.

Anyway ngoja waje wadau wanaweza kukupa majibu.
 
• Kila mtu ni mfupi, kutokana na eneo husika,

• Unaweza sema wewe ni mrefu, ila ukija huku kwetu unakuwa mfupi Zaidi.
 
Mimi Kwetu ni kusini huko kwenye baridi ni kama nilinusurika kuwa mfupi na yote sababu mama yangu alihama nikajikuta nimezaliwa na kukulia kwenye mkoa wenye Joto nikawa mrefu.

Nimekuwa nikifanya research kuhusiana na watu wafupi na mazingira walipotokea nimenotice mikoa yenye baridi hususani nyanda za juu kusini inaongoza kwa kutoa watu wafupi.

Swali langu kwa wataalamu wa mambo ya genetics je kuna uhusiano gani kati ya baridi na ufupi??


Nutrition

Then nurture and nature both takes place.

MTU tangu akiwa tumboni ikiwa hapati Good martenal health and after post natal akaendelea kukosa nutrition , kuna popability ya kuwa mfupi na kudumaa.


Ebu tazama haha DSM hasa uswahili uone kama itakuwa rahisi kuwapata watu wenye futi 6 Ila masaki wamejaa
 
kuna sababu kadhaa wa kadha ya watu kukosa kimo (stunted growth)
1. Diet watu wa mikoa ya iringa, Njombe na ruvuma wana ulaji usio kamilika wana kosa balance diet.
kutwa nzima 24/7 ni mahindi kwa kwenda mbele. Hamna nyama, samaki, maziwa etc hata utamaduni wa kula matunda hawana

2. Udongo unakosa madini muhimu kama calcium hivyo mazao pia yanalosa virutubisho muhimu katika ukuaji.

3. Utamaduni wa wenyeweji, wa wa mikoa tajwa hawajipendi wala hawajijali hata akiwa na uwezo ni nadra ale Vizuri au ajenge nyumba nzuri pia ni nadra kuoana na makabila mengine ku improve genepool. Wana ubinafsi (wabena)
4. Successive generations za ufupi x ufupi = tu mfupi squared. Ili mtoto(offspring) arefuke basi angalau mzazi mmoja haswa wa kike awe mrefu na died iwe improved time after time which is not what is happening in the mentioned regions
 
Back
Top Bottom