Kuna uhusiano gani kati ya msimamo mkali wa kidini na umasikini?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Katika utafiti wangu nimegundua kila dini au imani huwa inawatu wenye misimamo mikali iliyopitiliza ( Religious extremists)
Hawa wapo lwenye Ulokole, Usabato, Ukatoriki, Uislam hata Umizimu.

Ila katika kila imani kundi hili huwa linaonekana ni nyonge sana kwa kipato na kiuchumi.

Wengi wanategemea kupigwa tafu na kundi kubwa la watu ambao mambo ya imani hawayachukulii kama vita. Watu wenye msimamo wa kati. Na ndio watu ambao wanaomekana wako vizuri kipesa.

Unadhani ni kwa nini inakuwa hivi?
Nini chanzo.
 
Katika utafiti wangu nimegundua kila dini au imani huwa inawatu wenye misimamo mikali iliyopitiliza ( Religious extremists)
Hawa wapo lwenye Ulokole, Usabato, Ukatoriki, Uislam hata Umizimu.

Ila katika kila imani kundi hili huwa linaonekana ni nyonge sana kwa kipato na kiuchumi.

Wengi wanategemea kupigwa tafu na kundi kubwa la watu ambao mambo ya imani hawayachukulii kama vita. Watu wenye msimamo wa kati. Na ndio watu ambao wanaomekana wako vizuri kipesa.

Unadhani ni kwa nini inakuwa hivi?
Nini chanzo.
Kuwa na msimamo mkali na kuwa na Uchumi imara ni vitu viwili tofauti then katika Maisha kila mtu anamtazamo wake that is way wewe waweza muona mtu ni masikini ila yeye akawa anakuona wewe ndo masikini so usiwe mtu wa mjinga kupoteza Muda kuchunguza lifestyle ya mtu ishi Maisha yako utafanikiwa.
 
Katika utafiti wangu nimegundua kila dini au imani huwa inawatu wenye misimamo mikali iliyopitiliza ( Religious extremists)
Hawa wapo lwenye Ulokole, Usabato, Ukatoriki, Uislam hata Umizimu.

Ila katika kila imani kundi hili huwa linaonekana ni nyonge sana kwa kipato na kiuchumi.

Wengi wanategemea kupigwa tafu na kundi kubwa la watu ambao mambo ya imani hawayachukulii kama vita. Watu wenye msimamo wa kati. Na ndio watu ambao wanaomekana wako vizuri kipesa.

Unadhani ni kwa nini inakuwa hivi?
Nini chanzo.
Mambo ya kidunia hasa uchumi, sio kipaumbele chao, mawazo yao hayapo duniani.
 
Issue Ni kwamba dini inamfundisha mtu kuwa mkarimu na kujitoa kupitiliza kwa mfano Yesu alimsifia Yule mama aliyetoa Senti yake hiyo moja aliyokuwa amebaki nayo. Pia ukishika dini sana unakuwa hufanyi kazi za kujitengenezea kipato kutwa kushinda makanisani na misikitini na kuhudhuria ibada za masaa 10 etckutoa sadaka za kujimaliza na vitu Kama hivyo.
 
Hakuna uhusiano, ni kutokuelewa tu maandiko

Ukristo unasisitiza watu (hasa Wanaume) kufanya kazi kwa bidii na kula kwa jasho

Na sehemu nyingine inasema:-

"Asiyefanya kazi na asile" sio asiyeabudu na asile

Hawa wengine hawasomi neno na kuelewa.
 
Hao wenye misimamo mikali hata wachungaji wao huwashangaa wanaishi dunia gani, wanaonekana ni kituko. Kwanza hawategemewi kwa utoaji kwa kuwa hawana cha kutoa, watoaji ni hao wenye misimamo ya wastani. Wakifanya dhambi hutengwa na kufukuzwa haraka sana kanisani kwa kuwa si watoaji wazuri wa fedha. Wazazi nao hawakubali mabinti zao wawaoe wakijua hawana uwezo wa kifedha kutunza wake zao, wanaona bora waolewe na wapagani wenye fedha. Wachungaji hukaa chonjo sana ili wasieneze misimamo mikali kwa waumini
 
Hapo ndio unagundua kwamba accumulation nyingi lnahusisha njia ambazo kwa mtazamo wa dini si halali now you got the answer why huyo mshika dini kindaki ndaki hawezi kuwa na kingi
 
Back
Top Bottom