Kuna tabia hukuandama mpaka kifo

Kuna tabia hukuandama mpaka kifo

Kuna msiba mmoja nilihudhuria jeneza likagoma kabisa kufunga yani ilibidi mpaka wagonge na nyundo (sasa nahisi marehemu alikuwa mtata)
 
Kuna msiba mmoja nilihudhuria jeneza likagoma kabisa kufunga yani ilibidi mpaka wagonge na nyundo (sasa nahisi marehemu alikuwa mtata)
Au mambo yetu yalee ya viapo na maagano
 
Leo nimejifunza kitu hapa. Nakumbuka niliwenda kutembelea familia moja hivi, kumbe wakati naaga nikasahau simu yangu. Ikanilazimu kurudi nakumbuka wakati nafika mlangoni nikakutana na kauli hii " hata ukifa jeneza lako litarudishwa hivi hivi kama unavyorudi" nilipata uoga sana. Lakini alinisaidia siku hizi kurudi labda nimesahau nauli.
 
Sasa hapo ndio sikuelewa ila mpaka kufanikiwa walitumia dakika kama 10 tena kwa kugonga na nyundo kuhakikisha linafunga tayari kwa safari ya Moshi
Watani zangu hao wana maagano na viapo vingi
 
Leo nimejifunza kitu hapa. Nakumbuka niliwenda kutembelea familia moja hivi, kumbe wakati naaga nikasahau simu yangu. Ikanilazimu kurudi nakumbuka wakati nafika mlangoni nikakutana na kauli hii " hata ukifa jeneza lako litarudishwa hivi hivi kama unavyorudi" nilipata uoga sana. Lakini alinisaidia siku hizi kurudi labda nimesahau nauli.
hii noma sasa walitaka usiirudie simu yako? Halafu kumbuka maneno huumba na kuunda
 
Leo nimejifunza kitu hapa. Nakumbuka niliwenda kutembelea familia moja hivi, kumbe wakati naaga nikasahau simu yangu. Ikanilazimu kurudi nakumbuka wakati nafika mlangoni nikakutana na kauli hii " hata ukifa jeneza lako litarudishwa hivi hivi kama unavyorudi" nilipata uoga sana. Lakini alinisaidia siku hizi kurudi labda nimesahau nauli.
mi narudi hadi mara 2, mara mkoba niliobeba hauna vitambulisho wala kadi, au nimesahau simu au kitu chochote muhimu, yani mpaka nikishatoka ndo huwa nakumbuka hivyo nalazimika kurudi.....
Naona nichukue hatua za kujirekebisha sasa
 
mi narudi hadi mara 2, mara mkoba niliobeba hauna vitambulisho wala kadi, au nimesahau simu au kitu chochote muhimu, yani mpaka nikishatoka ndo huwa nakumbuka hivyo nalazimika kurudi.....
Naona nichukue hatua za kujirekebisha sasa
Jimena tutakurudisha hivyo hivyo
 
Kuna ukweli fulani,jinsi utakavyoishi na watu na mwenendo wako kwa ujumla,vitaamua kwa kiasi kikubwa vipi uzikwe na aina ya watu utakaowapata kwenye maziko yako.

Nakumbuka niliwahi kuhudhuria msiba wa jamaa mmoja aliyekua mwizi,tena kibaya zaidi siku moja kabla ya kufikwa na umauti alifanya tukio la wizi kwa kuiba baiskeli msikitini wakati watu wanaswali.

Aina ya watu walioudhuria kwenye msiba wake na jinsi msiba ulivyokwenda daah! mungu amrehemu tu uko alipo.
 
Back
Top Bottom