Kuna tabia hukuandama mpaka kifo

Kuna tabia hukuandama mpaka kifo

Siyo ya kuchomekea ni chuma kabisa, naomba upitie pale uje na ya sasa mtani wangu.
1455547745754.jpg
Mamndenyi ni hii?
 
Kuna kaukweli mkuu Mshana Jr. Imani hii nimeisikia cku nyingi sn. Wanasema pia ukipenda kusemasema ya watu au kutukanatukana utakufa kinywa wazi
 
mshana jr, thanks, ni hiyo, sasa nipe ufafanuzi kuhusu hicho kilichopo mbele ya huo msalaba, halafu huwa inahamishwa hamishwa, ni kama kuna watu maalum wanaosimamia hicho kitu.
 
mshana jr, thanks, ni hiyo, sasa nipe ufafanuzi kuhusu hicho kilichopo mbele ya huo msalaba, halafu huwa inahamishwa hamishwa, ni kama kuna watu maalum wanaosimamia hicho kitu.
Sorry to say this lakini ninachokiona ni michezo ya magazeti ya udaku kuweza kuuza magazeti yao
Mamndenyi ukisoma doctrine za Mason hawafanyi mambo yao hivi
 
Mbona unalia lia, usiogopa hiyo ndiyo njia ambayo kila mmoja wetu atapitia, jipe moyo mkuu.
Asipoacha haka katabia(kama sio mgonjwa lakini)hata siku yake ya mwisho duniani mambo yatakuwa hivi hivi
 
Bwana mshana jr umesema kuwa tabia hizi humfuta mtu mpaka siku akifa na bado unasema mtu abadili ta ia akiwa bado hai.
Mimi ninaamini tabia ulizoandika hazi hazirekebishiki ukubwani, nirahisi kurekebisha kabla hazijatokea mfano makuzi kwa watoto yenye maadili mema, huzuia tabia mbaya ambayo iko ndani ya mtu na tabia hiyo ikafa kabisa.

Tabia mbaya au nzuri inakuwa ndani ya mtu tangu kuzaliwa na nyingini ni za kuridhi, Jinsi mtoto anavyolelewa na kukuzwa ndivyo tabia halisi iliyondani hutengenezwa, inategemea mzazi, mlezi au mkuzi na mazingira ili kupata kilicho ndani ya mtoto.

Mtoto anapofika umri wa mtu mzima tabia inayotengenezwa hapo huwa haiondoki, inawezekana ikafunikwa na mazingira lakini kunanyakati zitajionyesha tu, kama ulikuzwa katika maadili mema na tabia njema, kisha ukaangukia katika maisha hovyo ya kishenzi ukubwani, ile tabia njema ulokuzwa nayo haitajificha, itaonekana tu. Sasa hapa inawezekana kurekebiswa na kurudi kwenye uhalisia wa mtu.
Mtu ambae alikuzwa katika maisha hovyo na yakishenzi kisha ukubwani akaangukia kwenye maisha tulivu, ile tabia alokuzwa nayo lazima itajaonekana dhahiri. na hairekebishiki.
 
Bwana mshana jr umesema kuwa tabia hizi humfuta mtu mpaka siku akifa na bado unasema mtu abadili ta ia akiwa bado hai.
Mimi ninaamini tabia ulizoandika hazi hazirekebishiki ukubwani, nirahisi kurekebisha kabla hazijatokea mfano makuzi kwa watoto yenye maadili mema, huzuia tabia mbaya ambayo iko ndani ya mtu na tabia hiyo ikafa kabisa.

Tabia mbaya au nzuri inakuwa ndani ya mtu tangu kuzaliwa na nyingini ni za kuridhi, Jinsi mtoto anavyolelewa na kukuzwa ndivyo tabia halisi iliyondani hutengenezwa, inategemea mzazi, mlezi au mkuzi na mazingira ili kupata kilicho ndani ya mtoto.

Mtoto anapofika umri wa mtu mzima tabia inayotengenezwa hapo huwa haiondoki, inawezekana ikafunikwa na mazingira lakini kunanyakati zitajionyesha tu, kama ulikuzwa katika maadili mema na tabia njema, kisha ukaangukia katika maisha hovyo ya kishenzi ukubwani, ile tabia njema ulokuzwa nayo haitajificha, itaonekana tu. Sasa hapa inawezekana kurekebiswa na kurudi kwenye uhalisia wa mtu.
Mtu ambae alikuzwa katika maisha hovyo na yakishenzi kisha ukubwani akaangukia kwenye maisha tulivu, ile tabia alokuzwa nayo lazima itajaonekana dhahiri. na hairekebishiki.
Asante GIUSEPPE kwa nyongeza hii
 
Back
Top Bottom