Kuna tabia hukuandama mpaka kifo

Kuna tabia hukuandama mpaka kifo

Nieleweshe tu nahisi sijaelewa kweli. Lakini Kasie mummy.....do not consume me naked I know I'll cause you discomfort. Have me with something else, hata na fresh milk. I swear u won't regret.
Am having you while baking..... no where else, milk no, I prefer vanilla yoghurt.

Usijali haina maana zaidi ya ku-inhale sand sugar directly.

Kasie.
 
Nilishawahi kusikia, eti kuna watu wakienda zikwa kaburi linajaa maji, wakiyaondoa maji yanarudi tena.

mshana jr, kama una ufahamu unaweza ukanisaidia kuniondoa kona za kiza/giza.

Au kama kuna mwingine anaefahamu anisaidie jibu
 
Nilishawahi kusikia, eti kuna watu wakienda zikwa kaburi linajaa maji, wakiyaondoa maji yanarudi tena.

mshana jr, kama una ufahamu unaweza ukanisaidia kuniondoa kona za kiza/giza.

Au kama kuna mwingine anaefahamu anisaidie jibu
Sio kujaa maji tu kubomoka na matukio ya nyuki nyoka na mvua kubwa yapo sana
 
nime hakiki hiyo namba 4, kuna msiba mmoja nilihudhuria huyo babu alikuwa punctual na mambo yake yalikuwa yanaenda kwa mipango. Msiba ulienda kama yeye alivyo kila kitu ndani ya muda na wakati.

Kasie.
Ni kwa sbabu walioendesha msiba huo ni watu wake wa karibu, watu wa karibu na kibaka ni vibaka tu, watu wa karibu na mwenye busara watakuwa wenye busara tu ... hilo si jambo la ajabu ....
 
Imamu wa Msikiti wa mchangani Kule Pangani Aldaktur fil Professor Abdul Ritz alileta darsa hapa ati kuna majini wazuri na eti kwake yeye Popobawa ni jini zuri...inlalilahi wa inlailaihi rajiuun
 
Imamu wa Msikiti wa mchangani Kule Pangani Aldaktur fil Professor Abdul Ritz alileta darsa hapa ati kuna majini wazuri na eti kwake yeye Popobawa ni jini zuri...inlalilahi wa inlailaihi rajiuun
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Imamu wa Msikiti wa mchangani Kule Pangani Aldaktur fil Professor Abdul Ritz alileta darsa hapa ati kuna majini wazuri na eti kwake yeye Popobawa ni jini zuri...inlalilahi wa inlailaihi rajiuun
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] na ndivyo wanavyowapotosha kondoo
 
Kuna ukweli fulani,jinsi utakavyoishi na watu na mwenendo wako kwa ujumla,vitaamua kwa kiasi kikubwa vipi uzikwe na aina ya watu utakaowapata kwenye maziko yako.

Nakumbuka niliwahi kuhudhuria msiba wa jamaa mmoja aliyekua mwizi,tena kibaya zaidi siku moja kabla ya kufikwa na umauti alifanya tukio la wizi kwa kuiba baiskeli msikitini wakati watu wanaswali.

Aina ya watu walioudhuria kwenye msiba wake na jinsi msiba ulivyokwenda daah! mungu amrehemu tu uko alipo.
Alisomewa albadri huyo
 
Hii ni hatari. Wale wenye tabia za ubahili inakuwa vepee?
 
Katabia kanakoniandama pamoja na jitihada zangu zote za kukikataa na kukemea kamenishinda ni kumsamehe mtu alienikosea, hata angeniomba msamaha kiasi gani huwa nashindwa kusamehe na kusahau. Ikitokea sijamuona muda mrefu siku nikimuona tu nitamlaki kwa tukio alilonitendea sio kwa msamaha alioniomba. Niombeeni
Samehe ili nawe usamehew
 
Kweli nimeamini kuna tabia hutuandama mpaka kifo
Takwimu alizotupatia pm za watu waliofuatilia msiba duniani kote kuwa ni bilion 3.9..zimenipa ufunuo wa ajabu sana
Marehemu enzi za uhai wake alikuwa anafahamu vitu vingi kwa idadi kamili..na alipenda ile idadi ya juu
Samaki wote wa baharini
Kilometer zote za lami
Idadi ya madaraja nknk
Na kubwa kuliko yote ushindi wa kufuru kuanzia juu mpaka chini kabisa...._[emoji2839][emoji2827]
 
Back
Top Bottom