rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,113
- 18,744
Roho yake bado ilikuwa pale na alikuwa anaona na kusikia kila kitu na hakutaka watu waende kinyume na matakwa yake...huu uzi umenichekesha hahhahaha na nimeogopa pia kuna msiba nilihudhuria aliefariki alikua mtu wa dini sana na aliweka mambo sawa kabla ya kufariki sasa ndugu wakaja juu kutaka kudhulumisha mali za marehemu marehem alikua akioshwa na alikua sawa baada ya mvutano wa ndugu kuhusu kutaka mali za marehemu huku marehemu alipindisha mdomo pembeni kama amesawijika kama ana maka ile ha! ikabidi asemewe pale akakaa sawa. hii inakuaje mshana
please unitag natamani kusoma nijueRoho yake bado ilikuwa pale na alikuwa anaona na kusikia kila kitu na hakutaka watu waende kinyume na matakwa yake...
Unakumbuka kuna post tulilijadili sana hili? Nitakuja na part II yake leo baadae usikose
Ndio nini hiki umeanzisha siku hizi?Uw
Uwiii uwiiiie uwiiie yeuwiiii auwiiii jamani auwiiii yruwiiii uwiii
Wacha Tu uwiii yeuwii auwii yelewiii auwiiiNdio nini hiki umeanzisha siku hizi?
Daah nimewaza kuhusu kufa, pozi zote zimeniisha jamaniiii. ..Na habari zako zitaandikwa sana
sometimes Kuna wale ambao wakizikwa kaburi linatitia ukiona hivo jua marehemm alikua haridhikiAisee nakumbuka kuna siku tulienda kuzika bibi mmoja alifariki magomen mapipa safar ya kuzika ikaanza.
Kufika makaburini tu ilinyesha bonge la mvuaaa kimbembe kwenye kuzika sasa ile maiti ikikaribia kaburi linamong'onyoka nusu watu wanachimba tena ikatokea mara kwanza mara ya pili mara ya tatu aisee mara ya nne mpaka ile maiti yote ikawa inaonekana wakamfukia ovyoovyo watu wakasepa toka siku hiyo mazikoni sendi kabisa.
Kurudi kitaa nikaskia yule bibi alikuwa si mtu mzuri.
Hats mademu zako hawatapata habari?Nahisi Msiba wangu utatawaliwa na usiri mkubwa sana.
😱Roho ya mtu aliyekufa hukaa karibu na huongoza mambo bila watu kujua.