Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

Habari wana MMU,

Nimefanya utafiti mdogo sana nimebaini wanaume warefu ni chaguo la wanawake walio wengi katika suala nzima la mahusiano ya mapenzi.

Nimepita thread nyingi sana za kutafuta wachumba hapa JF, wanawake wengi hutoa sifa za mwanaume wanayemtaka na sifa pekee ambayo inatawala sana ni "mwanaume awe mrefu" kwanini wanaume warefu?

Wanawake nisaidie katika hili tukianza na Miss Natafuta.
Wafupi wengi wanakuwa hawajiamini na sifa kubwa ya mwanaume ambayo inawavutia akina dada ni kuwa na mwanaume anayejiamini hii ndio sababu kuu inayowafanya dada zetu watuzimikie sisi watu warefu

Halafu kitu kingine watu wafupi wana visirani sana kitu kidogo tu anakasirika anahisi unamdharau kisa yeye ni mfupi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wapi nimesema warefu ni Wakutamba nao mtaani? Umeelewa nilichoandika kweli?Ila ni uongo au ukweli wanaume wafupi mnagubu? But asante kwa lisala yako.

Mbona umepanic mamii.....

mimi nimeongelea ujumla wake na nadhalia kwa ujumla wala sijapin-point urefu au ufupi.

mpaka hapa unapunguza points......mwanamke unatakiwa kuwa mpole na mvumilivu.....

ukumbuke sio vyote ving'avyo nidhahabu.
 
Habari wana MMU,

Nimefanya utafiti mdogo sana nimebaini wanaume warefu ni chaguo la wanawake walio wengi katika suala nzima la mahusiano ya mapenzi.

Nimepita thread nyingi sana za kutafuta wachumba hapa JF, wanawake wengi hutoa sifa za mwanaume wanayemtaka na sifa pekee ambayo inatawala sana ni "mwanaume awe mrefu" kwanini wanaume warefu?

Wanawake nisaidie katika hili tukianza na Miss Natafuta.
Kwanza asikudanganye mtu, wanawake karibu wote wanapenda wanaume warefu. Hataka anawaponda mbele yako, wewe mcheki reaction akimuona au akisalimiana nae, tofauti na mtu mfupi. Nilidhania in normal behavior kwa vijana, lakini wapi; nilikuwa na mmama mmoja akapita jamaa fulani tall, nikasikia tu 'kapanda alafu mzuri'. Nikajichekesha tu. This happened more than once.

Wanawake wengi hufikiria kuwa urefu = urefu wa penis. Kama wewe mfupi ujue kuwa machine fupi. Mwenyewe my girl aliniambia naogopa wanaume warefu kisa wanaweza kunitoa kizazi. Duh tuligombana after. You know why eheheheh. Pili, urefu = confidence also strength. Its nature. Hata wanyama pia uchagua dume lenye nguvu maana it means mbegu bora. That's how a woman's brain is wired. Urefu means protection, anajiona analindwa, sasa piga picha wewe mwanamke alafu unamzidi urefu mume wako, obviously utajiona wewe ndo mlinzi[emoji3] .

Appearance, inapendeza sana kama mwanamke akiwa mfupi, alafu mwanaume mrefu. Na hata wanawake wanapenda kushowoff kwa mashoti kuwa anamume mzuri. Kumbuka Urefu=beauty. Rejea Rwanda genocide. Mwanamke hupenda akiwa anamkiss mume wake awe anasimamia vidole na kichwa kiwe kinaangalia juu[emoji3] [emoji3] .

Naona watu wengi wanasema wanaume wafupi wasumbufu na wana mind vitu ovyo. In my experience naona wanaume warefu ndo maplay boy acha. Since they can easily get any girl they want. On the other hand wanaume wafupi wana game sio ya nchi hii. Overall mrefu haitaji maneno mengi kumuimpress mwanamke.

Conclusion:
Mwenyewe nipo kwenye kundi la wafupi. Ebwana nikuambie kitu, nikitembea na marafiki zangu warefu, wasichana hawaniangalii Mara mbili. Nikitaka attention inabidi Nipige mdomo. Wenzangu warefi kimya ila madada wanajigonga tu. Kingine, wasichana warefu pia wanavutia ila mimi siwezi kumtokea msichana anaenizidi urefu. Personal taste. Bora nilingane nae au awe mfupi. Kizuri Africa wafupi wanafigure no 8 ya ukweli[emoji3] [emoji3] [emoji3] (babe wherever you are nakupa sifa). Ushauri wangu kwa wanaume wafupi, kama swagger zero, piga kitabu, piga kazi, tafuta hela. Watajileta.

Sorry for the essay, ningesema this is my two cents but acha niseme its my $1[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

-callmeGhost
 
ea0672429a9ef71b157bd4a2f5e9d0bc.jpg
0971aa31d7439f1a07f32bf061476258.jpg
163a7205fdbe02a0c9f09bcd5166227b.jpg
af7b2b8bb38ab885e2c4e1fe5c547565.jpg


Watu na wapenzi wao nawaona nawaona
Aisee hata kukiss wana kiss kwa shida sana hawa watu uliowaweka.
 
Mbona umepanic mamii.....

mimi nimeongelea ujumla wake na nadhalia kwa ujumla wala sijapin-point urefu au ufupi.

mpaka hapa unapunguza points......mwanamke unatakiwa kuwa mpole na mvumilivu.....

ukumbuke sio vyote ving'avyo nidhahabu.
Sitegemei kuwa Mpole mkuu sababu sitafuti point hapa nimejibu kutokana na comment yako kwangu but sor kama umekwazika
 
Wakiwa wadogo ndio wanachagua chagua,urefu ila wakikua miaka ya 28 kwenda mbele hua wanakesha makanisani na kumuomba Mungu aje yeyote tu
Watu wafupi mmeuchukia huu uzi ,sipatii picha mlivyofura kwa hasira
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume wengi warefu ni wavivu kitandani uvivu huu hupelekea kutokuwa na michepuko,kumbuka wanawake hawapendi mume mchepukaji (kama mimi)
 
Sitegemei kuwa Mpole mkuu sababu sitafuti point hapa nimejibu kutokana na comment yako kwangu but sor kama umekwazika

hapana sikwaziki kirahisi...nina-mke 15 yrs now na naelewa ninachokiongea....kwa uzoefu -kwa ndugu, jamaa, class mate na hata matafiki.

sanasana hapa natoa somo tu.
 
hapana sikwaziki kirahisi...nina-mke 15 yrs now na naelewa ninachokiongea....kwa uzoefu -kwa ndugu, jamaa, class mate na hata matafiki.

sanasana hapa natoa somo tu.
Oky na usiku ukawe mwema
 
Back
Top Bottom