Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

Habari wana MMU,

Nimefanya utafiti mdogo sana nimebaini wanaume warefu ni chaguo la wanawake walio wengi katika suala nzima la mahusiano ya mapenzi.

Nimepita thread nyingi sana za kutafuta wachumba hapa JF, wanawake wengi hutoa sifa za mwanaume wanayemtaka na sifa pekee ambayo inatawala sana ni "mwanaume awe mrefu" kwanini wanaume warefu?

Wanawake nisaidie katika hili tukianza na Miss Natafuta.
Urefu unaanzia futi ngapi??
 
Kuvaa high heels afu unampiku urefu mwanaume wako inahusuu??!!... Raha ya mojawapo ya mwanaume urefuu.,afu akikuhug hivii weuweee,ama forehead kiss...bas raha tu,
Akiwa shorty forehead kiss uitoe wapii,heels utaacha kununua eti
Sema ndo hvyo wana hashuo sanaa wanaume warefu,
 
hahahah watu wafupi huwa hawajiamini mara nyingi ila wengi wao nilikokutana nao shuleni walikua vizuri sana walikuwa wanakimbiza sana
 
Tehteh mzee ninaubishi mzee...

Haha umenikumbusha text moja nilisoma eti jamaa alikuwa anawaponda wanawake wafupi.. wakivalia magauni mekundu njiani unafikiri vimitungi vile vidogo vya oryx haha
Hahahhahahahaha daha mtu asipopenda kitu haha
 
Daaah mi mrefu vyanawake vifupi vifupi vinashobo ivyo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom