kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,363
- 4,851
Maneno mazuri sana, i wish afande ayaoneAfande MABEYO naomba nikukumbushe katika dokezo lako kwa muheshimiwa raisi usiwasahau vijana wa JKT walio katika miradi mbalimbali ya kitaifa
Kwa kumbukumbu zangu ndogo kwa sasa watakuepo oparesheni MERERANI wakijenga ikulu DODOMA wakiwa 2000+
PIA Lipo kundi dogo la vijana 300 katika bwawa la NYERERE vijana hawa na kama mmewasahau hawaongelewi kabisa.. hawa ni miaka miwili sasa hawajatoka katika lile pori, hawana likizo na hawajui kitu mjini....
Baada ya kundi kubwa mkataba wao kuisha na kurudi nyumbani hawa walibaki na mara kadhaa HAYATI MAGUFULI alikisikikika akiahidi kuwaajiri...
Makundi haya yamefiwa na hawajui nini kinaendelea....
Nikuombe AFANDE MABAYO kama itakupendeza fikisha salamu za vijana hawa kwa muheshiwa Raisi.
Vijana msikate tamaa..... POPOTE MLIPO
TUPAMBANE MPAKA MWISHO
Sent from my Android using JamiiForums mobile app