Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,170
- 21,310
Punguza mhaho wewe
mpigie simuBado najiuliza kile kitu ambacho CDF Mabeyo aliahidi kwenda kumwambia mama ofisini kwake ni nini hass? Je ni hiyo habari ya utoroshwaji wa madini pamoja na kuwepo na ukuta pamoja na ulinzi wa jeshi kule mirerani?
TawireYaani mpaka leo hujajua ni nini!Ngoja nikujuze,akina Bashiru walikuwa wanataka kumpindua Mama wachukue nchi Magufuli alivyofariki.
Source ya habari yako ni kigogo?Yaani mpaka leo hujajua ni nini!Ngoja nikujuze,akina Bashiru walikuwa wanataka kumpindua Mama wachukue nchi Magufuli alivyofariki ila JWTZ wakazima huo uasi.
Ohooo!Kumbe sawa asante sana kwa taarifa.Ila hapo umetumia "AKINA BASHIRU" huu ni uwingi.Ndani ya akina Bashiru kulikuwa na akina nani humo?Yaani mpaka leo hujajua ni nini!Ngoja nikujuze,akina Bashiru walikuwa wanataka kumpindua Mama wachukue nchi Magufuli alivyofariki ila JWTZ wakazima huo uasi.
Ni lazima kama Taifa na hasa sisi tunaojiita greater thinker/think tank tukaachana na mambo ya ubashiri (speculations) tukachapa kazi zetu na Nchi ikasonga mbele! Kanuni ni kuwa jambo lolote linalokuhusu litakuja kwako bila hata jasho, kama jambo halijaletwa kwako kwa kifupi halikuhusu.Bado najiuliza kile kitu ambacho CDF Mabeyo aliahidi kwenda kumwambia mama ofisini kwake ni nini hass? Je ni hiyo habari ya utoroshwaji wa madini pamoja na kuwepo na ukuta pamoja na ulinzi wa jeshi kule mirerani?
Tena alisema alipewa na the late JPM, hayo ya Mhe.Bashiru yanatoka wapi?! Ni uchonganishi ambao unataka kuwafanya viongozi wetu watoke kwenye agenza za kuendeleza Nchi!Hakusema Siri
Alisema dokezo
The rest ni speculation
Huyo huwa ni mpuuzi fulaniSource ya habari yako ni kigogo?