Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Kwa watu wanaopenda kutafakari mambo kwa kina si rahisi kupuuzia hizi kauli mbili zilizotolewa na pande mbili tofauti lakini zenye mlengo unaofanana wa "kujizuia kusema jambo fulani"
Kiongozi wa juu kabisa wa mambo ya usalama anafahamu umuhimu wa mbeba taarifa ya siri! Anafahamu kabisa kuwa mtu mwenye taarifa ya siri anawindwa na kundi lisilotaka siri yao ivuje
Taarifa ya Siri inayopelekwa kwa Rais mwenyewe maana yake hiyo ni "classified information" imevuka level ya "top secret"
Aliyesema hivyo anafahamu kabisa kuwa kwa kusema "nina classified information" ni kuhatarisha usalama wa pande zote mbili yaani kama wanashindwa kumpata mwenye hiyo classified information watamuwinda anayekusudiwa kufikishiwa hiyo taarifa!
Unaweza kujiuliza, CDF alishindwa nini kujizuia kutamka "kuna dokezo" muhimu lakini naomba nisiseme hapa nitakuona ofisini.
Kwanini asiende moja kwa moja ofisini? Kwanini aliliweka kwenye hutuba yake??
Kama hiyo haitoshi familia wakati wanatoa neno la shukurani wakasema Hayati Rais Magufuri kabla hajaaga dunia aliomba mambo matatu kwa Mungu lakini kati ya hayo matatu wameweza kukumbuka mawili tu!!..na jambo la tatu "wote" waliokuwepo "wamelisahau"!
Inawezekanaje hiii?? Kati ya vitatu, penye watu zaidi ya watatu wote wakumbuke vitu viwili tu vinavyofanana??
Hapa pia ukitafakari kwa upana "ni kama kuna jambo" wameona lisiende hewani kwa maslahi fulani ambayo huenda busara imewatuma si vizuri umma ukajulishwa kwa sasa
Pamoja na busara hiyo, inaonekana kwa makusudi kabisa CDF na Familia wameamua wawafikishie watanzania ujumbe fulani kwa lugha ya fasihi!
Si rahisi watu wengi wote kwa pamoja kusahau jambo moja na kukumbuka mawili yanayofanana!
Wangesema wakati anataja la tatu kabla hajalimaliza "roho yake ikatwaliwa" hapa inaeleweka lakini si kulisema halafu waliokuwepo wote walisahau kwa pamoja...huu ni muujiza pia!
Ni kazi kwa wabobevu wa uchambuzi kutatua kitendawili kilichoachwa na CDF pamoja na famalia ya marehemu kwa pamoja!
Raha ya milele umpe Eee Bwana, apumzike kwa Amani!
Kiongozi wa juu kabisa wa mambo ya usalama anafahamu umuhimu wa mbeba taarifa ya siri! Anafahamu kabisa kuwa mtu mwenye taarifa ya siri anawindwa na kundi lisilotaka siri yao ivuje
Taarifa ya Siri inayopelekwa kwa Rais mwenyewe maana yake hiyo ni "classified information" imevuka level ya "top secret"
Aliyesema hivyo anafahamu kabisa kuwa kwa kusema "nina classified information" ni kuhatarisha usalama wa pande zote mbili yaani kama wanashindwa kumpata mwenye hiyo classified information watamuwinda anayekusudiwa kufikishiwa hiyo taarifa!
Unaweza kujiuliza, CDF alishindwa nini kujizuia kutamka "kuna dokezo" muhimu lakini naomba nisiseme hapa nitakuona ofisini.
Kwanini asiende moja kwa moja ofisini? Kwanini aliliweka kwenye hutuba yake??
Kama hiyo haitoshi familia wakati wanatoa neno la shukurani wakasema Hayati Rais Magufuri kabla hajaaga dunia aliomba mambo matatu kwa Mungu lakini kati ya hayo matatu wameweza kukumbuka mawili tu!!..na jambo la tatu "wote" waliokuwepo "wamelisahau"!
Inawezekanaje hiii?? Kati ya vitatu, penye watu zaidi ya watatu wote wakumbuke vitu viwili tu vinavyofanana??
Hapa pia ukitafakari kwa upana "ni kama kuna jambo" wameona lisiende hewani kwa maslahi fulani ambayo huenda busara imewatuma si vizuri umma ukajulishwa kwa sasa
Pamoja na busara hiyo, inaonekana kwa makusudi kabisa CDF na Familia wameamua wawafikishie watanzania ujumbe fulani kwa lugha ya fasihi!
Si rahisi watu wengi wote kwa pamoja kusahau jambo moja na kukumbuka mawili yanayofanana!
Wangesema wakati anataja la tatu kabla hajalimaliza "roho yake ikatwaliwa" hapa inaeleweka lakini si kulisema halafu waliokuwepo wote walisahau kwa pamoja...huu ni muujiza pia!
Ni kazi kwa wabobevu wa uchambuzi kutatua kitendawili kilichoachwa na CDF pamoja na famalia ya marehemu kwa pamoja!
Raha ya milele umpe Eee Bwana, apumzike kwa Amani!