Nsumba-ntale
Member
- May 24, 2026
- 15
- 80
Nasubiri kuona moshi mweusi unafuka ndani ya chama hiki dhalimu kabisa.Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Hili likafanikiwe mapema. InshallahNi suala la mda tu fito zitagawanwa.
Tulikuwepo sisi watetezi kinda kinda wa CCM mitandaoni.Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Nani anayetakiwa kuwepo walau kwa siku moja?Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Huu ndio ukweli.Tulikuwepo sisi watetezi kinda kinda wa CCM.mitandaoni.
Lakini baada ya Okt29 chama kinanuka uvundo mcito.
Nsfikiri hata kina Asha Rose wanajionea heri kukaa kimya kuliko kutetea uozo uliopo.
Mwigulu yupo atakitetea chamaTulikuwepo sisi watetezi kinda kinda wa CCM.mitandaoni.
Lakini baada ya Okt29 chama kinanuka uvundo mcito.
Nsfikiri hata kina Asha Rose wanajionea heri kukaa kimya kuliko kutetea uozo uliopo.
Mimi nawaombea kwa Mungu wafilisike kabisa ili nchi yetu iponeInavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
relax gentleman, na bado 🤣Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
relax gentleman, na bado 🤣
CV yake na yaliyotokea Oct.29 vinakinzana!Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.
Yes,
Chama siyo mtu!Mwigulu yupo atakitetea chama
Na iwe hivyo🙏Inavyoonekana, ni kama vile CCM kuna ombwe la ki Uongozi.
Asha-rose Migiro hatoshi na hana sifa za kuendelea kuwa Katibu Mkuu hata kwa siku moja mbele! Ni Katibu Mkuu asiye na ushawishi wala hasikilizwi na yeyote. Yupo kimya kama vile alilazimishwa awe hapo alipo.
Mbaya zaidi, pesa za Chama zinatumiwa na wajanja waliopo Serikalini kwa maelekezo. Ki ujumla, Chama hakina pesa na ndiyo maana hata mishahara ya Watendaji na Watumishi ndani ya Chama, mishahara hawalipwi.
Fukuto ni kubwa na la haja! Ni suala la mda tu fito zitagawanwa.