nusu kaputi
Member
- Feb 1, 2014
- 28
- 34
SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.
JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE HUDUMA INAYOSTAILI HAMLIPI. Kwa habari za chini Hadi wazabuni wanaopeleka vifaa tiba Mahospitalini wamegoma
Sasa hii nchi tunaipeleka wapi BIMA mmekaa kulipana maposho Kwenye viko na kujilimbikizia mikopo Hulu SHIRIKA likifa
Sasa linatafutiwa mbinu ya bima Kwa wote, Bila kujua kuchuguza ufanisi wa SHIRIKA, kwanini kusewepo na machirika mengi wakapambanishwa hili linawapa kiburi
JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE HUDUMA INAYOSTAILI HAMLIPI. Kwa habari za chini Hadi wazabuni wanaopeleka vifaa tiba Mahospitalini wamegoma
Sasa hii nchi tunaipeleka wapi BIMA mmekaa kulipana maposho Kwenye viko na kujilimbikizia mikopo Hulu SHIRIKA likifa
Sasa linatafutiwa mbinu ya bima Kwa wote, Bila kujua kuchuguza ufanisi wa SHIRIKA, kwanini kusewepo na machirika mengi wakapambanishwa hili linawapa kiburi