Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,636
- 19,734
Binadamu ni corruptible akipata chance au upenyo ataiba tu...; Cha muhimu dunia ya sasa tuna uwezo wa kila kitu (mali ya UMMA kuwa transparent) tujue senti imetumikaje / imekwenda wapi na hawa watumishi wetu ikiwemo Rais wanatugharimu kiasi gani...
Bila hivyo Kodi / Pesa zetu zitaendelea kuwaneemesha wachache
Bila hivyo Kodi / Pesa zetu zitaendelea kuwaneemesha wachache